kwanini wewe siku zote ulizokuwa unapiga huko hela hujawaintroduce hata ndugu zako?U don't make a sense kabisa,kwanza nimekuwa introduce kwenye this busness kabla sijaona uzi wa ontario,kifupi huyu ontario anamoyo mzuri sana,jaribu kutafuta watu waliofanikiwa kwenye this busness,asubuhi ukiweza weka logic yako on how ontario atafaidika mtu akianza kutrade...fanya research kabla ya kuongea
karibu sana.bora mimi nauza mbege kuliko nyie mnaotaka kutapeliwa .
maisha ni kupambana kijana wangu ,acha wanitukane hapa ila ipo siku.Mie na mambo ya forex wapi na wapi mama muuza. Bado sina hata bank account ya ku-link hizo online betting trades.
Mie nasaka laki tatu tu nizame pori nikapige bizna za dengu, mbaazi, ama korosho.
Nakuja mama muuza. Ubarikiwe sana mama mjasiriamali. ππ
-Kaveli-
ni fursa ila sio kwako.kuwa makini acha kukurupukawabongo tuna roho za kwanini, yani ontario kaleta fursa ya maana tu lakini watu wapo negative kinoma... tuache mihemuko na kukurupuka
Haaaaaa nimecheka sanahela ingekuwa inapatikana kirahisi hivo wachina wangekuwa kariakoo wakiuza yeboyebo?
ndio .nina demo account nawachora tu siku nyingiWewe umewahi shiriki
fanya research kabla ya kuongeani fursa ila sio kwako.kuwa makini acha kukurupuka
hela ingekuwa inapatikana kirahisi hivo wachina wangekuwa kariakoo wakiuza yeboyebo?
hahah! unakula loss tu kwenye demo yakondio .nina demo account nawachora tu siku nyingi
Mkuu hv zile bamia zako ulishavuna? Vp mtoko ulikuwajeMie na mambo ya forex wapi na wapi mama muuza. Bado sina hata bank account ya ku-link hizo online betting trades.
Mie nasaka laki tatu tu nizame pori nikapige bizna za dengu, mbaazi, ama korosho.
Nakuja mama muuza. Ubarikiwe sana mama mjasiriamali. ππ
-Kaveli-
katika watu 300 ni wangapi watapata hela? why usianze kutrade na watu watano hivi walete ushuhuda hapa.?Nataka nitapeli waTZ wengi mzee baba hadi wakome wenyewe. We usome mchezo tu hadi mwisho.
Unajuaje kama sijawaintroduce ndugu na marafiki??kwanini wewe siku zote ulizokuwa unapiga huko hela hujawaintroduce hata ndugu zako?
Atakayebisha atutajie regulatory body inayodeal na forex trade nchini Tanzania.Baada ya hapo kwa pamoja tumbishie mama muuza mbege.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msiwe wajinga jamani Fx trading ni Global market sio lazima Tz idhibiti sokmama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .