Unajua banki zinafanya forex trading?? Unajua forex inafundishwa mpaka vyuoni??sijui alishapata billion ngapi yeye kwa kutrade?
Nani kakwambia ela kwenye forex inapatikana kirahisi?hela ingekuwa inapatikana kirahisi hivo wachina wangekuwa kariakoo wakiuza yeboyebo?
nielewe sijasema forex trading ni feki.ila hii ya kuita watu wakatrade ni feki katika watu mia tatu hata kumi hawatafika watakaopata hela.acheni kudanganya watu .kwanza mnahujumu uchumi.watu mia tatu kila mtu akitoa m moja ni sh ngapi hyo ?Unajua banki zinafanya forex trading?? Unajua forex inafundishwa mpaka vyuoni??
Kwa kifupi hujui unachoongea. Atleast unge google kuliko kuja kujidhalilisha hapa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
si uweke dollar dada ucheze? mimi nauza mbege nimeridhikaJiongeze mama muuza mbege kuwa na depth knowledge ya unachokiongea,,,, unashusha thamani mbege na wauzaji wake[emoji51][emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikitika sana kuona comment kama hii inatolewa na mwanamke!!nielewe sijasema forex trading ni feki.ila hii ya kuita watu wakatrade ni feki katika watu mia tatu hata kumi hawatafika watakaopata hela.acheni kudanganya watu .kwanza mnahujumu uchumi.watu mia tatu kila mtu akitoa m moja ni sh ngapi hyo ?
mama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .[/QUOT
je,unapata faida kila siku kwenye mbege?........je hakuna risk yeyote kwenye biashara yako?
mama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .
mama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .
Hahahahaaa mkuu mbege ni kinywaji cha huku kwetu na inaonekana mleta mada ni huku kwetu. Kwa kifupi ametuaibisha sana kwa mawazo ya kipuuzi kama haya!!Wewe itakuwa umeonja mbege ya wateja zako.
Hahahahaaa mkuu mbege ni kinywaji cha huku kwetu na inaonekana mleta mada ni huku kwetu. Kwa kifupi ametuaibisha sana kwa mawazo ya kipuuzi kama haya!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha ujinga wako mkuu.nielewe sijasema forex trading ni feki.ila hii ya kuita watu wakatrade ni feki katika watu mia tatu hata kumi hawatafika watakaopata hela.acheni kudanganya watu .kwanza mnahujumu uchumi.watu mia tatu kila mtu akitoa m moja ni sh ngapi hyo ?
Sikutegemea kama ungecomment kwenye uzi huu yanini unaumiza kichwa na watu ambao wapo gizani tulishasema awali kuwa watakuja kustuka kumekuchaa!Nataka nitapeli waTZ wengi mzee baba hadi wakome wenyewe. We usome mchezo tu hadi mwisho.
Lazima tuwekane sawa katka hili