Eric Banks
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 174
- 245
Kama unajua kutumia google nenda kagoogle Sirjeff Dennis ndo utajua vizuri jamaa anadeal na nini!?Sio hiyo pekee huyu jamaa post zake huwa ni za kuwavutia sana watu anajua kucheza na akili za watu humu na anakuambia amefanikiwa but hataji kampuni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja hata usiwaze siku zote action speaks louder than word.Time will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
Mkuu Joseverest huyu ni nani tena kavaa nguo zako?kumbe Ontario ni lijambawazi...dadeki tumeshtuka
Kuhusu mambo ya utapeli mimi sijui. Ila kuhusu jamaa kufanikiwa ni kweli. Kampuni yake inaitwa Jefren Agrifriend Solutions Limited, Kama wewe ni msomaji mfukunyuki ni rahisi tu kujua. Jamaa inshort kapiga hatua.Sio hiyo pekee huyu jamaa post zake huwa ni za kuwavutia sana watu anajua kucheza na akili za watu humu na anakuambia amefanikiwa but hataji kampuni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Time will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
sitakaa nikudharau hata siku moja kwenye maisha yangu umenionesha jinsi dunia inavyoliwa na wachache wenye maarifa na wanaojua kutumia bongo zao vizur mimi now naishi kwa pesa ya forex japo bado sijafika kuwa na mamilion ila siku c nyingi nitafika huko.... Mungu akupe maisha marefu ndugu yetu wewe umetuokoa na utatuokoa vijana wengi kwenye hii nchii..msimdharau huyu kijana kabisa kama hajakukomboa wewe basi atamkomboa ndugu yakoTime will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
Nitumie fursa hii kuwapongeza JF kwa kuondoa nyuzi za biashara ya utapeli ya Forex iliyowekwa na bw ONTARIO
Kiukweli mimi ni miongoni mwa watu niliostukia utapeli huu lakini nilishangaa baadhi ya watu kulaghaika na maneno matamu.
Weng waliokuwa wanachochea na kuaminisha watu kiukweli wapo nyuma ya utapeli.
Nawasihi vijana, tufanye kazi tuache shortcuts
Aidha, Jf syo uchochoro wa utapeli.
Forex ni kama kamari zingne tofauti yake ni kwamba, kamari nyingi Tanzania zimesajiliwa lakini hii haikusajiliwa.
Ebu jiulize, jamaa alisema watu 300 wa mwanzo wangepewa training ya bure lakini baadaye akasema mchangie 65,000
65,000*300=19,500,000
Mwshowe angesema yeye ni fighter kumbe kawatapeli wajinga wanaopenda shortcuts.
Nawashauri vijana wenzangu, kuweni makini na matapeli, fanyeni kazi.
Mgegedaji.
Week mbili za nn unataka upewe Mkuu?Time will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
Watu wachokozi smh
Wasomi wa nchi hii waoga sana.Nitumie fursa hii kuwapongeza JF kwa kuondoa nyuzi za biashara ya utapeli ya Forex iliyowekwa na bw ONTARIO
Kiukweli mimi ni miongoni mwa watu niliostukia utapeli huu lakini nilishangaa baadhi ya watu kulaghaika na maneno matamu.
Weng waliokuwa wanachochea na kuaminisha watu kiukweli wapo nyuma ya utapeli.
Nawasihi vijana, tufanye kazi tuache shortcuts
Aidha, Jf syo uchochoro wa utapeli.
Forex ni kama kamari zingne tofauti yake ni kwamba, kamari nyingi Tanzania zimesajiliwa lakini hii haikusajiliwa.
Ebu jiulize, jamaa alisema watu 300 wa mwanzo wangepewa training ya bure lakini baadaye akasema mchangie 65,000
65,000*300=19,500,000
Mwshowe angesema yeye ni fighter kumbe kawatapeli wajinga wanaopenda shortcuts.
Nawashauri vijana wenzangu, kuweni makini na matapeli, fanyeni kazi.