Onyo kwa timu ya Simba dhidi ya mechi ya Vita club

Mbwa mkali kwao unaona kilichomtokea ahly sudani leo kaponea chupu
 
Yeah na kesho hiyo hiyo uto ya mwakalebela ndiyo mtajua kumbe Simba sio level yenu ila ni timu kubwa barani Africa.
Hii komenti tuijengee mnara, maandishi take tuyaandike kwenye bango kubwa yawe kivutio cha utalii
 
Badala ya kuonya uongozi wa Yanga kwamba wasipokuwa makini simba anachukua ubingwa mara tano mfululizo wewe unawaonya simba kuhusu as vita. Ona sasa
 
Halftime alijitahidi kukaza ila second half alichofanywa Aibu naona mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…