ONYO kwa wanaonunua simu humu

Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.

Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku...
Safi sanaaaa umeongea kitu kimoja kizur sanaaaa tuache tamaaan na kutaka vitu rahis
 
Infinix smart 5
Inauzwa iko vizuri kabisa nipo Mbeya
0863797853
 
LAPTOP hp notebook
Ram 4gb
Internal Disk 500Gb
Haina Damage yyte
Imetumika only 5 months(Nilinunua Shop ikiwa mpya)
Inakaa na moto sio chini ya 6/7 Hrs

Sababu ya kuiuza-Nimepata kubwa zaidi

Bei ya Kuokota kabisa=350,000
LOCATION-Mwanza

Namba- 0764 372652

Karibuni
 
Mzani 10KG mpya.
120,000 tu.
Location kigamboni mji mwema
0752649984
 
Wireless microphone
Iphone [emoji736]
Android type c[emoji736]
Headphone jack[emoji736]
__________________________
1. Mic moja [emoji2424]elfu 40 fixed
Iphone & android [emoji736]
___________________________
2. Mic MBILI [emoji2424][emoji2424] elfu 70 fixed
Iphone , android , camera [emoji736]
_____________________________

Tupo UBUNGO
[emoji625]Mawasiliano bus stand
Piga cm [emoji3513] 0627417113 au 0713358355
 
Nshanunua saaana simu ntandaoni na hii ninayotumia A9 pro nimenunua mtandaoni na sijutii kamwe,

Nshanunua gari, tv, spares za magari, saa, viatu and the like mtandaoni
Itaje basi hiyo mitandao boss
 
Sawa, asante kwa taarifa njema hasa kwa wanaotoka madongo poromoka: Hii inaonyesha namna ambavyo tunalala kitandani na kuuziwa simu zilizokufa.
 
🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…