ONYO kwa wanaonunua simu humu

ONYO kwa wanaonunua simu humu

Embu toa habari ki Great thinker! Ni member gani na ilikuwaje? Utatusaidia na wengine.

@lara hata hiyo inatosha bhana, wa kuelewa ameelewa na kama mtu hajaelewa basi asubiri yamkute tu.
 
Inategemea ntu na ntu. Mimi nilinunua blackbery kutoka kwa member humu @ marty mpaka leo inapiga kazi.

My take. siyo kila mtu humu anauza vitu feki
 
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,

wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa

Bora tumejua
 
jaman siyo wote siyo lazima ununue simu mpya dukan unaweza ukanunua hata mkonon mwa mtu huu ni ubunifu wa kibiashara!mim nauza samsung galaxy S4 ipo ndan ya box na kila kitu chake.contact +255762205187

Shilling ngap??
 
HAPA UMESEMA kweli kunawengine wanauza vitu feki humu.Wana JF tubadilike basi tuliboreshe jukwaa letu.
 
mimi naona hakuna tatizom,. kama simu utaikagua kwanza sawa,,.,, lakini usikurupuke,. hio ni hali ya kawaida,. microsoft wameuziwa kampuni ya nokia.... (wasingeanzisha yao?)
 
Kweli usipotoshe watu,mimi nmeshanunua cm km mbili jf ba zote ziko poa na mpaka leo natumia na bei ya kuridhisha kabisa
 
Kweli usipotoshe watu,mimi nmeshanunua cm km mbili jf ba zote ziko poa na mpaka leo natumia na bei ya kuridhisha kabisa

hebu toa pumba zako huko,kama we hujakutana nayo kaa kimya!ila soma vizuri thread za jukwaa hili juzi kuna mtu amenusurika kupigwa laptop,we kaa hivyohvyo kama zombi mpk yakukute
 
hebu toa pumba zako huko,kama we hujakutana nayo kaa kimya!ila soma vizuri thread za jukwaa hili juzi kuna mtu amenusurika kupigwa laptop,we kaa hivyohvyo kama zombi mpk yakukute

Kila mtu na akili yake boya ww,maboya km nyinyi acheni mpigwe tu
 
Back
Top Bottom