ONYO kwa wanaonunua simu humu

Kila mtu na akili yake boya ww,maboya km nyinyi acheni mpigwe tu

wewe utakuwa tapeli tu,sasa unapigana kitumbua kisiingie mchanga!ukipita anga zangu lazima upate ujauzito
 
Bora hata umesema maana kuna wa2 wanatusumbua na vimea mtaani kua wanatafuta wateja
 
Nimeona Tangazo pale Tegeta linaonyesha mahali pa kupata shule ya watoto kwa being chee. Je kweli Kuna boding ya laki moja?
 
Hata wanaotafuta Laptop pia kuweni makini kuna kioja nilikutana nacho tofauti na tangazo lilowekwa humu. Kama sio mjuzi unalizwa hivi hivi.
 
Mie kwanza huwa nashangaa mtu unanunuaje simu kwa mtu wakati maduka yapo!

Mpwa mbona umeniuzia iphone 5 juzi ina maana maduka sikuyaona?hahaaaa..mtwara salamaaaa?
 
Mpwa mbona umeniuzia iphone 5 juzi ina maana maduka sikuyaona?hahaaaa..mtwara salamaaaa?
sometimes we don't walk our talks! hahahahahah mtwara salama...nipo dar now ila narudi tena kesho...vp shwari lkn???
 
Jamani tunabidi tufikirie jambo moja, ukitaka kudumu kwenye biashara, inabidi tuwe waaminifu. Wabongo tumekuwa hatuaminiani kabisa. Imagine kama angeconfirm kwamba simu yake ni kopo, labda kuna watu wangependa hivyo hivyo na angeuza. Lakini anadanganya na kujikwamisha kibiashara. Udanganyifu ni adui wa biashara.
 

Kweli kabisa
 

ungesoma thread yake vizuri usinge comment kama ulivyocomment
 
mbona mi naona biashara ilienda vzr tu, mwisho wa siku hamkufikia makubaliano ukasepa, hilo ndo ungempelekea polisi? hata case usingefika kufungua ungekua umepoteza muda tu... simu wakanunue madukani sio kwa watu unless ni mtu unamjua ili uwe na guarantee ambaye hajui hili ana matatizo
 

dats true
 
Madukaaa yaapoo xo ni uvivuu tu wa mtu naa ufinyuu au upeo mdogo wa akilii.. Utaanunuaje kitu used kw kua umepunguziwa elf kumii... Na utamwaminijee mtuu anaekuuziaa na wakat hamkuwahi kuonana kablaaa.......:πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)πŸ™‚)
 
Biashara ni maelewano hata kama mali ni mbovu,ila kwavile hamkuelewana cjaona tatzo as long as kila mmoja alishika 50 zake.
 
Biashara yeyote ni maelewano haijalishi mode ipi ya kuuziana inatumika!!
Cha msingi mnunuzi awe makini kujiridhisha kwamba ananunua bidhaa ambayo ni halali ambayo huu kimsingi ni wajibu wa mnunuzi hata kama angekwenda dukani
KWA mfano mm nauza Iphone six plus kwa Tshs 1.7M na haina tatizo lolote and only used for two weeks!
Ili ni soko mbali na kuwa another social network where people will buy and sell,everybody should be responsible for themselves
My digits 0714843384
 
Inategemea na mtu mi nauza legal and good conditional devices na sijawahi lalamikiwa
Hata sasa nina samsung duos iphone 4s na nokia asha 302
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…