City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 3,475
- 7,571
Hivi karibuni kumezuka wimbi la wasanii wanaofuatana na wanasiasa kwenye michakato yao ya kutangaza nia. Wao wanadai eti ndio Kazi yao. hawaoni kwamba wanatumiwa kuleta watu walishwe uongo wa mafisadi. Ninyi wasanii nani kawaroga??
Naomba mjue kwamba mnazorotesha jitihada za sisi mashabiki wenu hasa sisi vijana ambao ndo tunahitaji kuwang'oa hao wezi walioko serikalini na kufanya mapinduzi ya kifikra kwa wananchi walio wengi.
Sisi mashabiki ndo tunaingia kwenye show zenu, tunanunua Kazi zenu, tunawapigia kura tuzo za kitaifa na kimataifa (mnapata hela) nyingi kuliko hizo mnazopata kwa kufuatana na hao mafisadi. wasanii msiume mikono inayowalisha kila siku kwa huo wa mwezi mmoja.
Nasema acheni huo uchu wa fedha mara moja. kuweni kama Ali choki au hata Weusi na akina Kala Jeremiah. Wekeni uzalendo mbele vinginevo mnaharibu career zenu.
Sisi tumewasupport, kama leo mnatugeuka; mtaona matokeo.
Naomba mjue kwamba mnazorotesha jitihada za sisi mashabiki wenu hasa sisi vijana ambao ndo tunahitaji kuwang'oa hao wezi walioko serikalini na kufanya mapinduzi ya kifikra kwa wananchi walio wengi.
Sisi mashabiki ndo tunaingia kwenye show zenu, tunanunua Kazi zenu, tunawapigia kura tuzo za kitaifa na kimataifa (mnapata hela) nyingi kuliko hizo mnazopata kwa kufuatana na hao mafisadi. wasanii msiume mikono inayowalisha kila siku kwa huo wa mwezi mmoja.
Nasema acheni huo uchu wa fedha mara moja. kuweni kama Ali choki au hata Weusi na akina Kala Jeremiah. Wekeni uzalendo mbele vinginevo mnaharibu career zenu.
Sisi tumewasupport, kama leo mnatugeuka; mtaona matokeo.