Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,204
- 5,710
Ovyo: Wale mnaweka namba za simu na email humu, kuna watu wanapiga simu wanadai wao ni tamisemi au mfanyakazi wa tamisemi dodoma kisha anasema yupo hapo kukusaidia.
Kuwa makini waepuke hawa utaliwa. Ni matapeli
mimi wamenipigia simu yani alipojitambulisha tu kama dk joseph wa tamisemi, eti wanakusanya majina ya watu wanaotaka kuhama na kushughulikia nikajua tayari huyu tapeli.
Kuweni. Makini wana jf, hakuna uamisho ambao tamisemi wanatafuta watu
hakuna mtu atakaekutafuta kutoka kusikojulikana akusaidie, ukikosa mtu wa kubadilishana mute tu mpk siku itokee
nitaweka namba ya huyo tapeli si punde
Note: nimeona nianziashe Uzi ili wengi muone kuliko kuweka katikati ya Page za ule uzi husika wenda Wengi msione hii
Kama umekutana na Visa vya hawa watu Toa ushuhuda hapa na tupia Namba zao
Kuwa makini waepuke hawa utaliwa. Ni matapeli
mimi wamenipigia simu yani alipojitambulisha tu kama dk joseph wa tamisemi, eti wanakusanya majina ya watu wanaotaka kuhama na kushughulikia nikajua tayari huyu tapeli.
Kuweni. Makini wana jf, hakuna uamisho ambao tamisemi wanatafuta watu
hakuna mtu atakaekutafuta kutoka kusikojulikana akusaidie, ukikosa mtu wa kubadilishana mute tu mpk siku itokee
nitaweka namba ya huyo tapeli si punde
Note: nimeona nianziashe Uzi ili wengi muone kuliko kuweka katikati ya Page za ule uzi husika wenda Wengi msione hii
Kama umekutana na Visa vya hawa watu Toa ushuhuda hapa na tupia Namba zao