Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 119
- 457
.
Alisisitiza issue ni sensitive sana na ni muhimu nifike kwa wakati ule ule asubuhi. Mind You Kimario anaishi Tabata Kisukuru wakati Mimi nakaaa Kigamboni.
.
Sababu Jamaa ni Mshikaji wangu sana na tushawahi fanya deals kadhaa nikaona isiwe tabu. Nikachukua Punda [Bodaboda] chapu dk kadhaa niko tabata.
.
Kufika Tabata Kisukuru nikamkuta Kimario tension iko juu uso umevimba, Nikamwambia relax brother ukiona jambo limekukuta ujue kuna namna Mungu anafanya kazi utalishinda. .
.
Kumbuka hapa bado sijaambiwa issue ni nini. Nikurudishe nyuma kidogo mwaka 2015 Kimario alinunua gari kutoka kwa Shehe Mmoja hapo Ilala [Toyota Hillux 2010]..
.
Shehe alikua anaitwa Tamim [Umri ulikua umeenda kidogo] na Shehe alikua na wake wawili na watoto wa kutosha tu wa jinsia zote [me na ke ] wakubwa tu.
.
Mwaka jana 2021 Katikati hapa Kumbe Shehe alikata moto ghafla [Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un]. Sasa bana Baada ya wake wa shehe kumaliza Eda taratibu za mirathi zikafata. Wasee wakakaa kugawa mali kwa kufata kanuni na taratibu na kwa mujibu wa sheria za Allah[s.w].
Shehe mzigo ulikuwepo na kuna baadhi ya marafiki zake alikuwa anawaazima/anawapa magari, Sasa to make Long story short katika Listing ya mali za Mzee gari ya Kimario nayo ilikua listed na Vijana katika kukusanya mali za Mzee wakafika kwa Kimario wanataka kuchukua chombo..
.
Kimario Baada ya kuchukua gari hakubadilisha Jina So gari iliendelea kusoma jina la Mzee na Kimario katika kuangalia katika makabrasha yake hakufanikiwa kuona sales agreement ya ile gari na Pesa alilipa cash.. .
.
Basi Vijana wakampa Week 1 akiipata sales agreemenr awajulishe waione. Week ikakata haoni kitu Basi vijana wakasema wanakuja kuchukua gari ya Mzee wao.
.
Sasa siku ananipigia simu ndo ilikua siku ya mwisho kama hana sales agreement basi arudishe gari ya watu maisha yaendelee. Sales agreement ameshaitafuta amekosa na hajui cha kufanya.
.
.
Katika kumbukumbu zangu kumbe niliscan ile document nikaiweka kwenye Email [Google] Kwa Lengo la kumtumia Ila nilikosea badala ya kumtumia Yeye nikajitumia mimi mwenyewe kwenya email yangu ya yahoo, Kufungua email document hii hapa hapa..
.
Kumuonesha Kimario ali act kama amechomwa adrenaline, Hapa ndo nikajua kuna mapenzi ya kipekee kati ya Pickup na mchaga.. .
.
Ile document ili forwadiwa chap kwa Vijana wa the Late Mzee Tamim na issue ikawa sorted. Niwakumbushe issue ya documentation na filing ni muhimu sana unapofanya manunuzi makubwa ya aina yoyote ile..
.
Kama unahitaji gari kuagiza, kununua hapa nchini showroom au mkononi karibu, Tunafanya kazi na dealers wa Japan, UK, Singapore na hapa nchini, dealers wanaotupa gari nzuri kwa ajili yako..
.
Simply njoo WhatsApp [0714547598] au ofisini Posta Phoenix House mkabala na Mkapa tower tutaku assist, Kama uko mkoani na unahitaji kuagiza gari karibu pia..
.
Utatupa hitaji lako tutakupa ushauri then tutakutumia options za gari ukishachagua utapewa invoice na utafanya malipo at cost [no extra cost] huko huko ulipo mpaka gari itafika na utakuja kuichukua au kuletewa ulipo..
.
.
Natumaini umejifunza kitu kama jibu ni ndio nasi usisahau kushare na wengine ili wasije wakajikuta wanapoteza vyombo na pesa au kuingia matatizoni sababu ya kutobadilisha jina kwenye card ya garu..
.
Asante
Samatime Car Dealers Co Ltd
0714547598