THT
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 737
- 869
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasheshe nilokua nalo first owner ni mdada mwarabu yuko Oman na hakua wala na national id, huyo aloniuzia ndio kaweka ma id yake ambayo ni useless kwangu.ni transfer tu ya jina, ukikutana na situation kama hiyo hakikisha una kitambulisho na passport size ya jina linalosoma kwenye card
sijaelewa swali Mkuu au mlengo wa swali ?Kuna maana yoyote ya kisanaa au kibiashara kutumia jina la kimario katika uandishi wako mkuu??
Mwakani bei zinaweza kuwa zimebadilika sana, ila kwa sasa price range ni 13-15 so napendekeza unatakapokaribia kuwa tayari tuwasiliana ishaalahKiongozi nimefatilia sana madani Yako juu ya elimu ya magari tweeter.
Mwakani mwezi kama huu natarajia kumiliki ka ndinga ka kupigia misele kupitia kwako kutoka Japan.
Nijipange Bei Gani Kwa gari hii
IST 2007, 1490cc
Or
Vitz RS 2012 yenye 1490cc
hv IST na runex hip nzr na boraMwakani bei zinaweza kuwa zimebadilika sana, ila kwa sasa price range ni 13-15 so napendekeza unatakapokaribia kuwa tayari tuwasiliana ishaalah
almost ziko sawa tu angalia unachokipendahv IST na runex hip nzr na bora
Mkuu nisaidie bei ya Subaru imprezaa XVMwakani bei zinaweza kuwa zimebadilika sana, ila kwa sasa price range ni 13-15 so napendekeza unatakapokaribia kuwa tayari tuwasiliana ishaalah
Halafu ikawaje?Kasheshe nilokua nalo first owner ni mdada mwarabu yuko Oman na hakua wala na national id, huyo aloniuzia ndio kaweka ma id yake ambayo ni useless kwangu.
Nivyomwambia apa transfer itakuaje ye kasema tumia tu.
Same situation japo mie original owner ni mbongo na ni staff wa TRA ila sijawahi onana naeKasheshe nilokua nalo first owner ni mdada mwarabu yuko Oman na hakua wala na national id, huyo aloniuzia ndio kaweka ma id yake ambayo ni useless kwangu.
Nivyomwambia apa transfer itakuaje ye kasema tumia tu.
Ulifanyaje ?tupe experience....maana Hali ni teteSame situation japo mie original owner ni mbongo na ni staff wa TRA ila sijawahi onana nae
Mi sijabadili naomba Mungu tu isitokee tatizo loloteUlifanyaje ?tupe experience....maana Hali ni tete
Ila una sales agreement?Mi sijabadili naomba Mungu tu isitokee tatizo lolote
Ndio ninayo mkuuIla una sales agreement?