MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Niliitumia tu nikapata kwikwi kwa siku tatu mtawalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heligo kit inauzwajeHizo ni akili za doctor wako, lakini ukiumwa na dalili za vidonda vya Tumbo unaenda hospitali unapima h, pirol kwa njia ya damu hakuna kitu.
Unapiga utersound hakuna kitu, unapeleka mavi hakuna kitu, Unatumbukiza mpira tumboni hakuna kitu yaani kifupi hauna vidonda vya tumbo.
Lakini ukila pili pili,.mtindi,ndizi mbivu, maharage, nyama choma,ukinywa maziwa wewe upo kwennye mateso, Lakini sasa baada ya matumizi ya heligo kit na omeprazole kwa muda wa miezi 3.
Bila hata ushauri wa daktari wala which doctor hivi sasa nakula kila kitu na niko fiti.
Hapo umepata somo gani?
Between Tsh. 40,000 and 50,000
Asante nilitumia mwaka jana ilinisaidia!Between Tsh. 40,000 and 50,000
Unajua pia chief hii huenda inasababishwa na nini..Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole.
Omeprazole ni kwa ajili ya vidonda vilivyoletwa na matumizi makubwa ya dawa za maumivu (NSAIDS)
So cha muhimu ni kujua sababu ya vidonda vyako kabla ya kutumia dawa na hii yaweza kujulikana kutoka kwenye history yako au vipimo vya maabara kama H.pylori antigen test from stool or blood.
Na sio kweli kwamba ni kwa vidonda vilivyoshindikana tu
Habari.Asante nilitumia mwaka jana ilinisaidia!
Habari.Kama umepatikana na H. Pylori:
1: Helgo kit huwa inajitosheleza kwani ni mchanganyiko wa antibiotics na antiacid.
Habari.Heligokit ni kwa ajili ya vidonda vilivyosababishwa na bacteria Helicobacter pylori na ni combination ya dawa tatu Antibiotics mbili na proton pump inhibitor moja (hizi hupunguza acid tumboni) dawa hizo ni Tinidazole,clarithromycin na lansoprazole.
Omeprazole ni kwa ajili ya vidonda vilivyoletwa na matumizi makubwa ya dawa za maumivu (NSAIDS)
So cha muhimu ni kujua sababu ya vidonda vyako kabla ya kutumia dawa na hii yaweza kujulikana kutoka kwenye history yako au vipimo vya maabara kama H.pylori antigen test from stool or blood.
Na sio kweli kwamba ni kwa vidonda vilivyoshindikana tu
Utasema Heligo kit tu inajulikana, ni dozi ya siku 14!Habari.
Nikienda Pharmacy niseme nataka Helgo Kit?
Wao watajua moja kwa moja ama natakiwa niwe more specific... Mfano dozi ya siku ngapi etc.
Kwa Pharmacy wanao uwezo wa kuelewa na kutoa dawa, ingawa hizi ni dawa zinazotolewa kwa kufuata mwongozo wa cheti cha daktari.Habari.
Nikienda Pharmacy niseme nataka Helgo Kit watanielewa.
Ama natakiwa nitaje specifics mfano dozi kiasi gani/mg ngapi.
Ama natakiwa niwatajie hiyo lost ya madawa sijui omprazone, trycline, PPI
1. Sina hakika kama nina gastrisis. Lakin sometimes huwa nasumbuliwa na GERD ile umelala horizontal halafu ACID REFLUX inapanda kooni. Unapaliwa.Kitu cha msingi kabla ya kwenda duka la dawa:
1: Je una gastritis au vidonda vya tumbo?
2: Je H. Pylori amethibitishwa kuwa moja ya chanzo cha tatizo husika?(Umepima).
Lukonge umeniacha kwenye mataa kaka
Okay
Kama umepatikana na H. Pylori:
1: Helgo kit huwa inajitosheleza kwani ni mchanganyiko wa antibiotics na antiacid.
2: Wakati mwingine huwa kunatolewa na mchanganyiko wa dawa ambazo hazijachanganywa/unganishwa kwenye package moja, lakini kwa uwezo sawa na ukipata namba moja hapo juu.
NB: Kulingana na aina ya mgonjwa, wakati mwingine huwa kuna haja ya kuendelea na dawa ya ku-control acid kwa muda mrefu baada ya dose hapo juu ya kuondoa H. Pylori kulingana na madhira ambayo huwa yameshatokea kwen
Je kma ni mtoto amepatikana na Hpylori anaweza kutumia , mtt wangu alitumia dawa siju 14 lakin bado tumbo halijapoa nkaambiwa ninunue heligokitUnajua pia chief hii huenda inasababishwa na nini..
1. Huenda dr. Yupo shallow, hii sababu ambayo sitaki kuiamini saana.
2. Dr. Kutibia wagonjwa wengi kuliko wastani ambao anapaswa kuhudumia, mwishowe dr. Anajikuta amechoka sasa masuala ya kuanza kumdadavulia mtu kumuelezea kwa kina anajionea tabu ndio mwishowe hayo anajibu kumridhisha na kumfukuza mgonjwa kijanja.
Serikali waangalie, madaktari wahudumie wagonjwa kwa wastani wa idadi ya watu kitaaluma( hospitali ziongezwe na madaktari waajiriwe kwa wingi kubalansi mzani)
Hata mashuleni, mwalimu anaefundisha darasa la wanafunzi 40 maximum, ni tofauti kabisa na yule anaefundisha wanafunzi 100+.
Mwanafunzi wa darasa la wanafunzi 40 na huyu 100+ kuna vitu vingi wanatofautiana,
Mwalimu wa darasa la wanafunzi A ni rahisi kujua shida ya mwanafunzi mmoja mmoja, kusaidia n.k, tofauti na huyu wanafunzi 100+
Kutibia H. Pylori si emergency(hauhitaji haraka). Hizi dawa unazomsukumia kwa wingi zinaweza kuleta shida zaidi/maumivu.Je kma ni mtoto amepatikana na Hpylori anaweza kutumia , mtt wangu alitumia dawa siju 14 lakin bado tumbo halijapoa nkaambiwa ninunue heligokit
Natumaini unaendelea vizuri mkuu, ulinunua kiasi gani za week mbili? Mie ndiyo naanza leo,Kweli nimeenda hospital wamesema kuna mdudu katk choo kikubwa nimeandikiwa hiyo dawa now Niko day 3 nimepewa za wik mbil ila nikali sana