financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Duh! Umefikiria nini mkuuππTusinunue simu kwa mtu haya tuonyeshe wapi ng'ombe wanauza simu tukanunue
Soma kichwa cha uzi usisome content! Watu tushavurugwa mapenzi,tozo,huku gwajima,huku yesu alioa,Mara mama j,huku manara sahivi tupo kwenye tour..Duh! Umefikiria nini mkuuππ
Hata Mimi mwenyewe sijui nilipoipata yaani ππππ nilishangaa tu nimeiweka
YESU ALIOA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Soma kichwa cha uzi usisome content! Watu tushavurugwa mapenzi,tozo,huku gwajima,huku yesu alioa,Mara mama j,huku manara sahivi tupo kwenye tour..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Soma kichwa cha uzi usisome content! Watu tushavurugwa mapenzi,tozo,huku gwajima,huku yesu alioa,Mara mama j,huku manara sahivi tupo kwenye tour..
Duh ikawaje walikusamehe au?Sijawahi kununua simu dukani.
Ila kilichonikutanisha na askari mara nyingi ni mimi kua mtoa lock wa simu za wizi.
Msingi upo kwenye neno 'Simu za wizi'Duh ikawaje walikusamehe au?