OOH!! CONGO!!

OOH!! CONGO!!

Mr Putin

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2019
Posts
515
Reaction score
520
Jeshi la Congo limekimbia kuelekea Goma baanda ya kusikia M23 inakalibia ku kamata mji wa Sake km chache kuelekea Goma,walipo fika Goma Miltary Police(MP) waka wakimbiza na viboko warudi kupigana!🤣🤣
Na inasemekana Sake ikikamatwa basi watu wa Goma kupata chakula ni kutumia ndege maana barabara zitakua zimefungwa hakuna kuingia Goma wala kutoka. Ndege au kwenda Gisenyi Rwanda.
 

Attachments

  • Dachronica_20230209__1623678184431529985_2_16236756163010478101.mp4
    614.9 KB
  • IMG_20230210_093355.jpg
    IMG_20230210_093355.jpg
    103.7 KB · Views: 12
Congo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi

wawaachie nchi iitwe Kivu

Kama wapo serious waweke kambi hayo maeneo kwa msisitizo, haya mambo ya kuja na kuondoka hakuna kitu kitabadilika nadi ya marudio tu,
 
We ona hayo makundi yote yenye silaha nchini congo!ila tuasikia m23 tu!.🤣🤣
 
Wakongo wanacho jua ni kukata mauno tu.
 
Congo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi

wawaachie nchi iitwe Kivu

Kama wapo serious waweke kambi hayo maeneo kwa msisitizo, haya mambo ya kuja na kuondoka hakuna kitu kitabadilika nadi ya marudio tu,
Wakithubutu kuachia hilo eneo ndio itakuwa mwanzo wa kumegwa maeneo mengine na mwisho wa taifa la Congo
 
Jeshi la Congo limekimbia kuelekea Goma baanda ya kusikia M23 inakalibia ku kamata mji wa Sake km chache kuelekea Goma,walipo fika Goma Miltary Police(MP) waka wakimbiza na viboko warudi kupigana!🤣🤣
Na inasemekana Sake ikikamatwa basi watu wa Goma kupata chakula ni kutumia ndege maana barabara zitakua zimefungwa hakuna kuingia Goma wala kutoka. Ndege au kwenda Gisenyi Rwanda.
Umetuwekea picha hapo juu ya makundi mengi ya congo.
Kwa nn yapo hilo eneo hayo makundi na sio maeneo mengine??
Huoni makundi yapo mpakani mwa uganda na rwanda , kwa nini hayatoki hapo , toa ufafanuzi.
 
We ona hayo makundi yote yenye silaha nchini congo!ila tuasikia m23 tu!.🤣🤣
M23 ni Hatari, zaidi kuliko makundi mengine.
M23 wana
-Ant aircraft missile(manpad)
-Drone
-GPS missile
-Sniper rifles
-bullet proof helment
-Night vision goggles
-mortar bombs
-ant tanks missile
-inasemekana Kuna kipindi walikuwa na hata mizinga.
-na equipment zingine
Ambazo makundi mengine hawana.
 
Back
Top Bottom