mpumbavu weweCongo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi
wawaachie nchi iitwe Kivu
Kwa akili hizi utaweza kuongoza familia kweli?Congo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi
wawaachie nchi iitwe Kivu
I think you meant it to be tactical retreat mkuu.
Wakithubutu kuachia hilo eneo ndio itakuwa mwanzo wa kumegwa maeneo mengine na mwisho wa taifa la CongoCongo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi
wawaachie nchi iitwe Kivu
Kama wapo serious waweke kambi hayo maeneo kwa msisitizo, haya mambo ya kuja na kuondoka hakuna kitu kitabadilika nadi ya marudio tu,
Umetuwekea picha hapo juu ya makundi mengi ya congo.Jeshi la Congo limekimbia kuelekea Goma baanda ya kusikia M23 inakalibia ku kamata mji wa Sake km chache kuelekea Goma,walipo fika Goma Miltary Police(MP) waka wakimbiza na viboko warudi kupigana!🤣🤣
Na inasemekana Sake ikikamatwa basi watu wa Goma kupata chakula ni kutumia ndege maana barabara zitakua zimefungwa hakuna kuingia Goma wala kutoka. Ndege au kwenda Gisenyi Rwanda.
Wewe umejiunga jana, tuu enawezekana ukawa ni intore millitia kama Mr PutinCongo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi
wawaachie nchi iitwe Kivu
M23 ni Hatari, zaidi kuliko makundi mengine.We ona hayo makundi yote yenye silaha nchini congo!ila tuasikia m23 tu!.🤣🤣