OOH!! CONGO!!

Masasi yatatumaliza sisi bamutu ba mayele na ba inonga πŸ™ƒ ila kama kweli ingekua ni tactical retreat wasingechapwa na ma mp mana si ni mbinu ya kivita sasa ilikuwaje kwenye mbinu waanza kuangushiana mafimbo yale,...ooooh batokola benyewe ku'nyavu
 
Congo wakubali tu hilo eneo hawaliwezi

wawaachie nchi iitwe Kivu

Kama wapo serious waweke kambi hayo maeneo kwa msisitizo, haya mambo ya kuja na kuondoka hakuna kitu kitabadilika nadi ya marudio tu,
Itakuwa ni kosa kubwa sana kukubali nchi igawanywe.
 
Video haina uhalisia na mada
 

Hao sio M23 ni watu wa kijitu refu chenye roho mbaya na unyafuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…