Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Haya mambo tunaelewana wachache sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Special gearsHizo ndude nyekundu na njano ni nini?
Hizo kuna hi na lo kwenye hiyo rungu nyekundu huyo njano ni link lock gear ya 4WD ukiwa ktk low range au high range wakati unapotaka kutumia 4wd kuna namna ukiingiza hiyo red njano ina jifyatua,zinahusiana hizo...kwa magari ya auto function hiyo ipo kwenye overdrive switch etc
Hii picha mbona imekaa kiutata hivyo?Discovery 3 imekaa poa sana wazeeView attachment 1244908
Mkuu huyu jamaa anaramba nini hapo?Discovery 3 imekaa poa sana wazeeView attachment 1244908
Hii picha mbona imekaa kiutata hivyo?
Mkuu huyu jamaa anaramba nini hapo?
Na usilazimishe yeyote akueleweHaya mambo tunaelewana wachache sanaView attachment 1244913
Discovery 3 imekaa poa sana wazeeView attachment 1244908
Kuna mtu yoyote kakulazimisha?Na usilazimishe yeyote akuelewe
Jamaa anachunguza jinsi buttons nyekundu na njano zinavyofanya kazi.Yupo makini sana.Discovery 3 imekaa poa sana wazeeView attachment 1244908
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,hongera lkn kama ulipata mi nawaza siku nikienda hiyo road test itakuaje maana nishasahau kabisa gear 1 ya kuondokea ndicho nakumbuka ,hivo vingine ni majanga, driving school rudisheni fees yanguuu[emoji3] [emoji3][emoji2][emoji2] nilipita kwa mbinde sana, test zile ni unafika katikati ya mlima anakwambia simama then ondoka gari isirudi nyuma na gari yenyewe iyo[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo gari ilinitesa sana wakati wa test ya kupata leseni ya udereva, nipo na RTO mmoja sura inatisha na nikiweka gia kama navunja mhogo vile[emoji28] ilikuwa hatari sana
kuendeshea mkuuGia zote za nini hizo?
Kila rakheri mkuu.Siku nikinunua gari yangu ya kutembelea lazima ninunue manual car
Aiseee, hivi wote wanaona nnachokiona mimi uwii[emoji30] [emoji30]Discovery 3 imekaa poa sana wazeeView attachment 1244908
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] ,hongera lkn kama ulipata mi nawaza siku nikienda hiyo road test itakuaje maana nishasahau kabisa gear 1 ya kuondokea ndicho nakumbuka ,hivo vingine ni majanga, driving school rudisheni fees yanguuu[emoji3] [emoji3]