Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Haaa haaa haaa,babu tatizo ni masaburi kuhamia magotin nitakuwa kituko! samahan Obuntu naona tushachakachua hapa si unaju huyu mzee keshachukua ubingwa wa kuchakachua na akikamta mjukuu hata kwenye sred ya mtu kuchakachua hakukwepeki,tusamehe bure!Yaani mijanaume yoooote hii mikware huku JF ukose mchumba?............ Kaogee magadi aisee!
TF na Bishanga mnaanza kuchakachua thread ya Obuntu. Halafu watu wanaoanzisha thread na kuondoka huwa sielewi kabisa
Swadktaaa......Wifi hio ndio hufanya watu wachakachue.... Wee unaanzisha thread na kutokomea?? At least bas wamkabidhi mtu aisimamie....
duu!! mi hii yakoo ndo nazimia nayo kabisaaa!!dah..feis buku ..hiyo avatar yako..mashalaah
dah..feis buku ..hiyo avatar yako..mashalaah
duu!! mi hii yakoo ndo nazimia nayo kabisaaa!!
Wifi hio ndio hufanya watu wachakachue.... Wee unaanzisha thread na kutokomea?? At least bas wamkabidhi mtu aisimamie....
mmu kama vilivyo vyombo vya habari inaburudisha,kufahamisha na kuelemisha.
Humu mmu unaweza kuingia na simanzi ukapata faraja,lakini pia unaweza kuingia kwa raha zako ukaishia kuwa 'rattled'.
suffice to say mmu imewasaidia watu wengi kuwapa mwongozo katika maisha yao binafsi baada ya kuyamwaga jamvini.More importantly kuna ambao wamepata marafiki na hata wachumba humu ndani.
Mwenzetu vipi kupitia mmu hujafahamiana physically na memba yeyote? Mi tayari nafahamiana na Husninyo(mtoto mzuri ni hatari) na Aspirin(ana sura mbaya utadhani kagongwa na treni) na TF (kumbe ni kibabu).
klwani wewe unaonaje?Takribani miaka mitatu sasa nimekuwa msomaji mzuri sana wa hili jukwaa (MMU) na baada ya kupitia "threads" takribani 500 nimeona kuna kitu kimoja kinachofanana sana katika hizi "threads"... Nyingi ni za "Ulalamishi/Ushauri wa mahusiahano"!
Ningependa kufahamu,
Je, Inawezekana wachangiaji wengi au wapenzi wengi wa MMU ni wale waliokwisha kutendwa (broken-hearted) Au wengi wako katika safari ya ku-recover kutoka katika kutendwa Au wengine bado wapo katika kutendwa???
Nawakilisha: