mapenzi siku hizi hakuna best, mapenzi waliyafaidi wazazi wetu but wanaume wa siku hizi!!! Ukipata anaekupenda na kukujali kwa dhati shukuru mungu. Kwa wenye roho ndogo kama yangu bora kukaa kivyako tu kuliko kuumizana vichwa.
piga piga wenyewe ndio kama hawa FL1 na Pearl. Sijui hasira za nini asubuhi mijitu mingine bwana somtimes. Hila kwa kuwa im a gent asubuhi njema nakuomba uachane na mimi kama una zuri la kuniongelea have a good day.mzima kweli wewe hapo upstairs???????/mzee hya ya kutongozana yameingiaje humu???????
Sure Mrs President, kumsaidia mtu mwenye shida kama hiyo si vibaya hasa katika masaa hayo mabaya ya usiku, but mshauri akaripoti polisi au aende kwa ndugu zake otherwise huyo jamaa anaweza kukuletea shida na huruma yako ikakuponza.
enyi wake watiini waume zenu, na waume wapendeni wake zenu hayo ndiyo maagizo ya mwenyezi Mungu kwa wanandoa kwa mujibu wa katiba ya Ki-Biblia, na ukiona mtu hatimizi hayo, huyo yuko nje ya hii katiba na lazima atakuwa anaongozwa na akili za kishetani au kijini, maana huwezi kumpiga mkeo. umeamuliwa kumpenda tu na hakuna maagizo ya kupiga, hapo hii inatokana nakuongozawa na Roho Mtakatifu na Siyo sheria za Kadhi, maana hizo waweza vunja tu,,,,,,,MATHATO 11 : 28 Njooni kwangu ninyi msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha, hapa kuna kuna mizigo ya kunyanyaswa, kuteswa, kurogwa, na mingine mingi tu, lakini kwa Yesu kuna pumziko
piga piga wenyewe ndio kama hawa fl1 na pearl. Sijui hasira za nini asubuhi mijitu mingine bwana somtimes. Hila kwa kuwa im a gent asubuhi njema nakuomba uachane na mimi kama una zuri la kuniongelea have a good day.
Kaizer nyie wenyewe mnadai ukimpeleka mmeo police basi ndoa hakuna tena ..unalionaje hili binamu?
alafu soon atajutia makosa atamfata mkewe kwa kisingizio cha SHETANI KANIPITIAkwani shetani akikupitia lazima umfuate?ona sasa wanakuongezea un necessary majukum!I hate him,sitamani hata kumwona naweza kumwita mwizi bure kko akione ha moto!
inabidi uufungue moyo na kujifunza kupenda tena ndio tuna jifunza na makosa, good love needs no conditions. learn to love again openly ma.Eeeh tumefanya nn?ivi unadhani mm naweza kupigwa tu kisa mume?nadhani sijui kupenda tena,n will neva allow some1 to play with ma heart.
Ni kweli mambo ya kupigana yana sikitisha na hayakubaliki kwa jamii zilizo staarabika la msingi la kujiuliza jamaa na mwanadamu nahisi atakuwa nafurahia kuwa n afamilia yenye amani kwanini afikie uamuzi huo.
Kama ingewezekana kusikia upande wa mwanaume kilimsibu nini dakika chache kabla hajafikia uamuzi huo nafiri ingekuwa vizuri zaidi
Mi sijawahi kusema hayo Binamu!
inabidi uufungue moyo na kujifunza kupenda tena ndio tuna jifunza na makosa, good love needs no conditions. Learn to love again openly ma.
Ndoa ndoano.
Wanawake huwa wanakosea,
wanakuwa na haraka sana ya kuolewa na kusahau kumchunguza vyema mumewe mtarajiwa.
Hata akigundua tabia mbaya za huyo mwanamume husema moyoni mwake kuwa atamrekebisha, kitu ambacho hata wazazi wa mwanaume wameshindwa kuzirekebisha tabia mbaya hizo.
matokeo yake ni kwamba baada ya raha za muda mfupi wa ndoa mateso na dhuluma huanza.
Ila familia bora ni ile yenye hofu ya Mungu.
mkiwa mnatafuta watu wa kuwaoeni, tafuteni wale ambao wanamtegemea Mungu na kufuata neno lake.
You cannot change a man's behavior. * Change comes from within.
yani hizi story now ni too much,ss wengine tunatamani kuolewa but mambo yenyewe ndo kama haya kila cku,yanatuogopesha!y beating the person you love?at one time you couldnot fall asleep just thinking about her,at a time you fought with ur relatives,friends etc just because you wanted to proctect her?what has changed your mind now?it realy hut jamani,yani haya mambo uskie kwa mtu yakikufika!so next time ukikosea na yy akupige na kukufukuza?have you 4go10 ur frm God image?wea is the love jamani?
napendaga sana kuwaambia watarajiwa kuwa wategemee "mabadiliko"....kaizer wa leo sio wa kesho, kwa namna moja au nyingine.
huyo haji binamu alitaka kwanza amtoke...heheheheh ita polisi wakae standby apo
kwani angekuwa mkewe angemfanyia alivomfanyia? mbona ni kosa la kwenda polisi kabisa...akamshtaki polisi jamaa awekwe ndani kwanza ndo atashika adabu.
Thats the spirit namna hiyo, nakubalina mambo ya kupigana ni ya kale. hayo mengine ni kawa tu.My dia i knw how to love and therefore i give love,unipige unitukane then uniambie sijui kupenda?i love and am so loveble dia,ol i knw hakuna mapenzi ya ugomvi,ups and downs ni kawaida but si kiiivyooooo
Thank you Akili Kichwani lakini je ni vyema mwanaume urudi nyumbani saa saba nane mke anyamaze ? je hamjui kama huwa tunakuwa na hofu na usalama wenu kwa vile tunawapenda na kuwajali ..
Je huoni kama ukilala nje ya nyumba yako unampa mashaka mkeo hasa pale anapokuwa hajui nini kimempata ?
Tunawasoma sometimez hamsomeki...
hapo kwenye kuchunguza mie naamini hata ukimchunguza mtu miaka 10 mkiwa kwenye uchumba hutakaa ujue undani wake, ngoja muingie kila mtu atoe makucha yake...uwiiii.
Thank you Akili Kichwani lakini je ni vyema mwanaume urudi nyumbani saa saba nane mke anyamaze ? je hamjui kama huwa tunakuwa na hofu na usalama wenu kwa vile tunawapenda na kuwajali ..
Je huoni kama ukilala nje ya nyumba yako unampa mashaka mkeo hasa pale anapokuwa hajui nini kimempata ?
Tunawasoma sometimez hamsomeki...
napendaga sana kuwaambia watarajiwa kuwa wategemee "mabadiliko"....kaizer wa leo sio wa kesho, kwa namna moja au nyingine.