Mama Mchungaji
Member
- Sep 4, 2009
- 23
- 0
jamani kuna rafiki yangu ana boyfriend wake. huyu bf alikokua anakaa mwanzo alimuonyesha lakini baadae alikuja kuhama alipohamia hakumuonyesha. na kila wakikutana anasema hana pesa anataka yule mwanamke alipie vinywaji. kuhusu mawasiliano kila mara yeye ni hana credit akimpigie simu anapokea baada ya muda anamwambie nipigie baadae. na sababu ya kutomwonyesha kwake ni kuwa anadai huyo msichana hajakua kiakili so siku akikua atamwonyesha. kwake kutamka neno i luv u ni msamiati.
mi nachouliza je huyu kaka anampenda kweli huyu dada?
mi nachouliza je huyu kaka anampenda kweli huyu dada?