Oooh!! Sinta

La haula, mie sikujuwa kama huyu Sinta ni Mwaarabu, ana nywele na rangi nzuri.
 
Sitaki demu, ehmu huko, jamani Sinta!
 
Nature karudiana naye na wanatengeneza movie inayokwenda kwa jina la SITAKI DEMU! Tunaisubiri kwa hamu!

tatizo letu ndo hilo, kila mtu akiwa muimbaji au mrembo ni muigizaji pia nachoka kabisa!
 
Aisee kumbe ndio maana mlio wa vilimbi ya refa wa mpira wa miguu ni tofauti sana na filimbi ya refa mpira wa rugby,acha nikapate lunch.
 
Mhhhh!!!!!???hhhh???!!!!hhhhh!!!!..................
 
Si alikuwa mweusi huyu! Mbona rangi yake ya asili siyo yenyewe? Too much brown now!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…