Oooh!! Sinta

Mbona mapaja yamesinyaa, nikiona hivyo jogoo hapandi mtungi mmmh
 
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu huyu hafai. Mimi nikawabishia nikawaona wao ndio hawafai. Hivi sasa ninajuta........staki demu.



Akang'ata vidole ili nimwone bonge la shoreee
 
Kwa kumbukumbu zangu nimemjua sinta nikiwa darasa la tano kwenye 1999 hivi., akiwa msichana tayari na ameanza kuigiza., naamini alikuwa ameshafikisha miaka kumi na nane., sasa mdada mwenye umri wa 30+ nadhani anastahili kuzingatia sana mavazi yake.,Kujiweka nusu uchi haipendezi mbele ya jamii., styles nyingine awaachie watoto walio kwenye foolish age
 
Sasa mmeona nini cha ajabu hapo? Ohhh Gosh!
 
Utathubutu kuingia chumvini hapo????? wewe hujitaki kabisa!


QUOTE=Pdidy;2579557]ukiingia chumvini lazima utoke na fungus ya bukoba
ubutamwerenda!!kupona kwakwe mpaka pakti mbili za 100,000[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…