Oooh!! Sinta

Oooh!! Sinta

25.jpg

Kwa kweli limekuwa hovyo! Wala halijipendi angalia minyama uzembe, ile ndo inafanya mwanaume kitu kisinyae mara tu akivua nguo. Hata bure simtaki
 
Utathubutu kuingia chumvini hapo????? wewe hujitaki kabisa!


QUOTE=Pdidy;2579557]ukiingia chumvini lazima utoke na fungus ya bukoba
ubutamwerenda!!kupona kwakwe mpaka pakti mbili za 100,000
[/QUOTE]

duu mna balaa nyie!!
 
Its fair kabisa kuvaa nguo fupi naona kila mtu anataka akapunge upepo... Ujumbe umeifikia hadira haswa...and i was trying to look harder nimishia kuona kagiza kwa mbaaaali
 
Women: as the days go, the mkorogo increases....??????
Saloon kuna mambo sana......
PIcha ya chini ndio alikuwa anaingia mjini.
Picha ya juu ni mara alipoingizwa mjini na wajanja.....

The way the cookie crumbles...

Nilifikiri ni mimi tu ndiye niliyemuona hivyo.
 
hivi hawakurudiana tena na Juma Nature....no wonder nature alipagawa na kutunga manyimbo ya maombolezo kwa kupigwa chini!!!!!!
 
duh mnaomsifia ni kweli inatoka moyoni?sintah hana uzuri wowote kinachoniboa ana force maisha makubwa na hana uwezo, anatukanwa sana kwenye blog yake anaringia hiyo masters yake ya "youtong" yaani anachefua sana pia ni snitch huyu demu balaa nakumbuka aliwahi kuajiriwa pale quality group enzi hizo namie nafanya pale kazi yake ilikuwa kusoma magazeti na newz zote about big boss manji huyu sinta akadhani manji atamzimika anajitahidi kujichekesha na mitego ghafla boss akapiga simu kwa HR akamwambia huyo sintah sitaki kumuona masaa mawili mbele duh she lost job!
 
Yaani chaliiiiiiiiii! Tena kwishneeeeeeee kabisa
 
Back
Top Bottom