Ooohh!! Kumbe dmx haji bongo

Ooohh!! Kumbe dmx haji bongo

I-NGOSHA

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2011
Posts
496
Reaction score
182
Fiesta Mbeya tuliwapa supplementary sasa naona wanataka kuja kujaribu kuichomoa bt hawajausoma mchoro bora wasingeingia kwenye exam room coz hawachomoki hata waingie na madesa so 26th wanadisco
26TH, NOV!! USTAWI WA JAMII WITH NO APOLOGY!!
SOGEA USHILIKI KWENYE HISTORIA!!
 
The heading and the body are world apart.
 
Fiesta Mbeya tuliwapa supplementary sasa naona wanataka kuja kujaribu kuichomoa bt hawajausoma mchoro bora wasingeingia kwenye exam room coz hawachomoki hata waingie na madesa so 26th wanadisco
26TH, NOV!! USTAWI WA JAMII WITH NO APOLOGY!!
SOGEA USHILIKI KWENYE HISTORIA!!

daah,.tofaut na kichwa cha news
 
Antivirus with no apology, waziri nchimbi ndani ya viwanja vya ustawi wa jamii!
 
yaani mnataka kujifanya hamjui clouds inawafanya nini wasanii na wananchi watanzania wapenda maendeleo kwa ujumla?acheni kujifanya hamjui machungu ya vijana wenzenu:embarassed2:!!!!kuna majitu humu yanajifanya mastaarabu sana,eti vinega ni matusi,sijui sugu hana ustaarabu,nk...ukweli upo pale pale,ni harakati na machungu yao mnayajua na heri wao wanajitoa muhanga kufa kwa ajili ya future artists,na tunawaunga mkono moja kwa moja....haki zao zimedhulumiwa saaana,heri watukane waelewe....maaa.f***ka!
 
umedondoka toka juu ya mti eehh!! maana hujielewe!!! kweli usimwamshe alie lala!!

i salute you miss!star kama diamond hatakaa aelewe the meaning of all these mpaka akikua atajua clouds is the group of greedy crooks!
 
yaani mnataka kujifanya hamjui clouds inawafanya nini wasanii na wananchi watanzania wapenda maendeleo kwa ujumla?acheni kujifanya hamjui machungu ya vijana wenzenu:embarassed2:!!!!kuna majitu humu yanajifanya mastaarabu sana,eti vinega ni matusi,sijui sugu hana ustaarabu,nk...ukweli upo pale pale,ni harakati na machungu yao mnayajua na heri wao wanajitoa muhanga kufa kwa ajili ya future artists,na tunawaunga mkono moja kwa moja....haki zao zimedhulumiwa saaana,heri watukane waelewe....maaa.f***ka!
mitanzania ndivyo ilivyo!!!1
 
Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi............ Sugu ni jiwe..........:rant:
 
Back
Top Bottom