Tetesi: Oops that COW; a Kenya's greedy brandchild project gone to "lazy Tanganyika"

Tetesi: Oops that COW; a Kenya's greedy brandchild project gone to "lazy Tanganyika"

Andika makala yako tui-correct. Small typing errors are meant to happen on a longer article. Do u know how much is a report revised before being published on a newspaper?
The english might be on point. Kudos. The gist of the message on the other hand is more of a psychological fantasy than solid reality.
 
Hivikingereza mnakipenda sana
Usiende huko, wewe anza tu kwanza na kiswahili. Kila siku huwa nakuuliza tafsiri ya yale maneno unayopenda sana kuyatumia. Mtarahaniwa, mlirahaniwa, mmerahaniwa??????
 
Hivikingereza mnakipenda sana

Hehehehe!! Naona hamjanielewa na kwa jinsi mlivyo, najua hamtanielewa.
Mimi hapo nilimsifia mleta mada maana miaka yote amekua akikesha huku kwa Wakenya kutafuta ugomvi na Wakenya, kila siku akiandika na kutamani Mkenya amjibu hata kwa hoja zisizohusu Kenya, imeboresha uwezo wake wa kuandika kwa Kingereza, na pia hata uwezo wake wa kuchanganua mambo na kuyadadavua.

Kuna Watanzania ambao hawakua na uwezo wa kuandika hata aya/paragraph mbili humu, lakini baada ya kukesha wakibishia Wakenya, wakaanza kunufaika hadi wengine siku hizi wanaandika riwaya kabisa.

Wewe hapo ndio sijui tatizo nini maana upo upo tu, haubadiliki, Kiswahili chako huwa ovyo sana, Kingereza chenyewe ndio majanga na pia uwezo wako wa kujadili hoja bado upo kwenye kiwango ulichoanza nacho.
Ukijikita kwenye kujadili hoja na Wakenya, Mtanzania lazima uanze kubadilika, kiwango chako cha kufikiri lazima kiboreke, sasa sielewi kwanini wewe umeganda.
Tatizo lako kubwa ni zile copy paste zako za Twitter, huleti habari ijadiliwe kitaalam, unatujazia vyanzo vya kutoka Twitter halafu unafuata na mipasho, sasa hapo hutajifunza kitu kutoka kwa Wakenya.
 
mulisaaa unanyima usingizi watu! Wewe MK254 wacha ujinga nishaandika makala za kiingereza humu ndani toka enzi ya kibaki na Kikwete tena kipindi hicho opinion section ya the East African ikanishambulia. Tatizo hii page ilibadilishwa na kupoteza kila kitu. Andika zako tuone basi.
 

No! Not at all! This messenger will not be shot. I wish this messenger continues to comment on some other issues of interest in the sub-region. This messenger is highly an objective a mind. I wish he is not Tanzanian as that would reduce ridicule from Tanzanians who still today do not see anything good coming out of JPM's Galilee. No you are not going to be shot because yours is an independent thinking mind devoid of partiality and blind patriotism but global in perspective as what is good in Tanzania for you should also be good for Kenya. Honestly, I don't know if you are Kenyan.

If you are Kenyan, indeed it seems you love your country so much to be frank that much. Yes! Yours is a cry to those who hold the national helms of your country or elsewhere in the sub-region to learn from this simple lesson, not to rush matters of national importance on a deepened personal political agenda.

To Tanzanians it is a wake up call, especially, to those stubborn in the country who have refused to appreciate the humble efforts of the current leader of the nation - JPM. Yours is a positive response by global citizens who have come to the aid of Tanzania amidst growing criticism from many corners regarding her great leap to "economic freedom." This well resonates with the cries of Julius Malema and his "Economic Freedom Movement in South Africa."

Friends! The world is always changing and the human society is always transformed as ages pass on especially in Africa. You all remember the year 1979 whereby ruthless dictatorships around the world collapsed in a seemingly political single wave; all the way from East Africa with fall of Idi Amin in Uganda; to Central Africa, when Emperor Bokassa of CAR and Francis Nguema of Equatorial Guinea fell. This was the year that The Shah of Iran fell and Somoza of Nicagarua was also deposed. It was an epoch.

Present is an epoch of strong leaders highly oriented in the interests and heritage of their national societies. We see the resurgence of Russia under Putin. China is consolidating her political power around Xi. Trump has shown the way suitable for maintaining American steadiness in the modern world. ANC, in South Africa appears to regret why it let go Julius Malema as the latter's EFP is slowly gaining strong influence among the impoverished in the country.

We in Tanzania, at least for some of us, do say that all our previous leaders performed to the best according to their relevant times and the relevant needs of the nation at then. They did well from Mwalimu, to Mzee Mwinyi, to Mzee Mkapa and to Dr. Kikwete. They served their tenures well enough and we do appreciate of their times.

Now we have JPM in the helms and he is doing well according to his party political agenda and his political vision. We are seeing immediate results coming out of his presidency. We see his willingness to lead the country to the highly desired national development. We have seen him challenging the mining conglomerates into having a fair share of the profits with his people. We have seen him cleaning the so called "laziness" among the rank and file of the Tanzanian public work force.

We have seen his innovation even in daring to extract power for his people through initiating massive power projects like the Stieglers Gorge. He is not afraid. He is incorruptible. He is sincere. Many a people of other countries have learnt to admire this phenomenal African leader. JPM has become a role model for many young leaders and old alike across Africa.One sad thing so. There are some Tanzanians who do no what to see any good coming out of JPM's Galilee. But for Geza Ulole and others, these gentlemen are raising their voices for Tanzanians to realize one of the greatest political gifts that God may have granted the country.

Why do you think Ukrainian Russian speaking community chose to be under Putin's Russia? Why do you think the Chinese people are comfortable with XI becoming a lifelong president? Why do you think Trump won the presidency in US a few years ago despite of all the odds? Why do you think Raila and Uhuru decided to bury the hatchet and resolve their political sparring matches? Why do you think the leaders in SA (Mama Madizsela-Mandela, CR} are inviting Julius Malema back into the ANC fold?
 
mulisaaa unanyima usingizi watu! Wewe MK254 wacha ujinga nishaandika makala za kiingereza humu ndani toka enzi ya kibaki na Kikwete tena kipindi hicho opinion section ya the East African ikanishambulia. Tatizo hii page ilibadilishwa na kupoteza kila kitu. Andika zako tuone basi.
Akiandika ni tag.
 
No! Not at all! This messenger will not be shot. I wish this messenger continues to comment on some other issues of interest in the sub-region. This messenger is highly an objective a mind. I wish he is not Tanzanian as that would reduce ridicule from Tanzanians who still today do not see anything good coming out of JPM's Galilee. No you are not going to be shot because yours is an independent thinking mind devoid of partiality and blind patriotism but global in perspective as what is good in Tanzania for you should also be good for Kenya. Honestly, I don't know if you are Kenyan.

If you are Kenyan, indeed it seems you love your country so much to be frank that much. Yes! Yours is a cry to those who hold the national helms of your country or elsewhere in the sub-region to learn from this simple lesson, not to rush matters of national importance on a deepened personal political agenda.

To Tanzanians it is a wake up call, especially, to those stubborn in the country who have refused to appreciate the humble efforts of the current leader of the nation - JPM. Yours is a positive response by global citizens who have come to the aid of Tanzania amidst growing criticism from many corners regarding her great leap to "economic freedom." This well resonates with the cries of Julius Malema and his "Economic Freedom Movement in South Africa."

Friends! The world is always changing and the human society is always transformed as ages pass on especially in Africa. You all remember the year 1979 whereby ruthless dictatorships around the world collapsed in a seemingly political single wave; all the way from East Africa with fall of Idi Amin in Uganda; to Central Africa, when Emperor Bokassa of CAR and Francis Nguema of Equatorial Guinea fell. This was the year that The Shah of Iran fell and Somoza of Nicagarua was also deposed. It was an epoch.

Present is an epoch of strong leaders highly oriented in the interests and heritage of their national societies. We see the resurgence of Russia under Putin. China is consolidating her political power around Xi. Trump has shown the way suitable for maintaining American steadiness in the modern world. ANC, in South Africa appears to regret why it let go Julius Malema as the latter's EFP is slowly gaining strong influence among the impoverished in the country.

We in Tanzania, at least for some of us, do say that all our previous leaders performed to the best according to their relevant times and the relevant needs of the nation at then. They did well from Mwalimu, to Mzee Mwinyi, to Mzee Mkapa and to Dr. Kikwete. They served their tenures well enough and we do appreciate of their times.

Now we have JPM in the helms and he is doing well according to his party political agenda and his political vision. We are seeing immediate results coming out of his presidency. We see his willingness to lead the country to the highly desired national development. We have seen him challenging the mining conglomerates into having a fair share of the profits with his people. We have seen him cleaning the so called "laziness" among the rank and file of the Tanzanian public work force.

We have seen his innovation even in daring to extract power for his people through initiating massive power projects like the Stieglers Gorge. He is not afraid. He is incorruptible. He is sincere. Many a people of other countries have learnt to admire this phenomenal African leader. JPM has become a role model for many young leaders and old alike across Africa.One sad thing so. There are some Tanzanians who do no what to see any good coming out of JPM's Galilee. But for Geza Ulole and others, these gentlemen are raising their voices for Tanzanians to realize one of the greatest political gifts that God may have granted the country.

Why do you think Ukrainian Russian speaking community chose to be under Putin's Russia? Why do you think the Chinese people are comfortable with XI becoming a lifelong president? Why do you think Trump won the presidency in US a few years ago despite of all the odds? Why do you think Raila and Uhuru decided to bury the hatchet and resolve their political sparring matches? Why do you think the leaders in SA (Mama Madizsela-Mandela, CR} are inviting Julius Malema back into the ANC fold?
saafi sana!
 
Hehehehe!! Naona hamjanielewa na kwa jinsi mlivyo, najua hamtanielewa.
Mimi hapo nilimsifia mleta mada maana miaka yote amekua akikesha huku kwa Wakenya kutafuta ugomvi na Wakenya, kila siku akiandika na kutamani Mkenya amjibu hata kwa hoja zisizohusu Kenya, imeboresha uwezo wake wa kuandika kwa Kingereza, na pia hata uwezo wake wa kuchanganua mambo na kuyadadavua.

Kuna Watanzania ambao hawakua na uwezo wa kuandika hata aya/paragraph mbili humu, lakini baada ya kukesha wakibishia Wakenya, wakaanza kunufaika hadi wengine siku hizi wanaandika riwaya kabisa.

Wewe hapo ndio sijui tatizo nini maana upo upo tu, haubadiliki, Kiswahili chako huwa ovyo sana, Kingereza chenyewe ndio majanga na pia uwezo wako wa kujadili hoja bado upo kwenye kiwango ulichoanza nacho.
Ukijikita kwenye kujadili hoja na Wakenya, Mtanzania lazima uanze kubadilika, kiwango chako cha kufikiri lazima kiboreke, sasa sielewi kwanini wewe umeganda.
Tatizo lako kubwa ni zile copy paste zako za Twitter, huleti habari ijadiliwe kitaalam, unatujazia vyanzo vya kutoka Twitter halafu unafuata na mipasho, sasa hapo hutajifunza kitu kutoka kwa Wakenya.
Hivi sisi watz na nyinyi wakenya ni nani anayepatiwa elimu hapa jf hoja zote tulizo waletea mkapinga zilikuwa kweli mfano sgr , bomba la mafuta na mambo mengi tuliyo waambie yamekua kweli hivyo siyo sisi tunao pata elimu kwenu bali ni nyinyi ndiyo mnapata elimu sahihi kutoka tz nimeingia JamiiForums.com kumejaa utoto na upuuzi mtupu yaani ni usamaki mtupu hadi nikajiuliza wakenya ni machizi au VP kama unabisha ingia kytk uone hoja zenu zilivyo za kipuuzi
 
Hivi sisi watz na nyinyi wakenya ni nani anayepatiwa elimu hapa jf hoja zote tulizo waletea mkapinga zilikuwa kweli mfano sgr , bomba la mafuta na mambo mengi tuliyo waambie yamekua kweli hivyo siyo sisi tunao pata elimu kwenu bali ni nyinyi ndiyo mnapata elimu sahihi kutoka tz nimeingia JamiiForums.com kumejaa utoto na upuuzi mtupu yaani ni usamaki mtupu hadi nikajiuliza wakenya ni machizi au VP kama unabisha ingia kytk uone hoja zenu zilivyo za kipuuzi
Hahaa mkuu Kenya talk ni jahu. Mimi mwanzo nikahisi labda kuna nyingine ya wakubwa niliyo ingia mimi ni ya watoto.
 
Hivi sisi watz na nyinyi wakenya ni nani anayepatiwa elimu hapa jf hoja zote tulizo waletea mkapinga zilikuwa kweli mfano sgr , bomba la mafuta na mambo mengi tuliyo waambie yamekua kweli hivyo siyo sisi tunao pata elimu kwenu bali ni nyinyi ndiyo mnapata elimu sahihi kutoka tz nimeingia JamiiForums.com kumejaa utoto na upuuzi mtupu yaani ni usamaki mtupu hadi nikajiuliza wakenya ni machizi au VP kama unabisha ingia kytk uone hoja zenu zilivyo za kipuuzi
Ni hoja zipi hizo mlizozileta zikawa kweli, maana kwa kweli ni zamani sana tangu nione Mtanzania ameandika chochote chenye mantiki au mashiko humu. Wengi mumezoea same old script za mara Kibera mara Turkana mara SGR Mchina ametupiga, na nikiwaalika mtoe facts data kwa data Mchina ametupiga vipi, mnaishia mipasho.

Kuna uzi niliwahi kuleta humu uliotolea taarifa za kitaalam za SGR yetu, nikawaalika tupelekane hatua kwa hatua mkapiga kimya na kuendelea na nyimbo za Mchina amewapiga Wakenya.

Tatizo lenu kubwa ni kwamba mkikaririshwa kitu, yaani hadi Yesu arudi ndio mtakubali kujiongeza au kutumia akli zenu wenyewe.
Huko Kenyan talks binafsi huwa siendi maana ni vigumu sana kuwakuta Wakenya wamekusanyika kwenye mtandao mmoja kama ilivyo kwa Watanzania hapa JF. Ni rahisi sana kuwakusanya Watanzania wajazane kwenye mtandao mmoja na washinde humo kutwa maana ni hulka yenu ya kiujamaa, hivyo mnaweza kushinda humu mkipiga soga. Wakenya wengi labda uwakute kule Twitter, sehemu ambapo anaandika maneno machache na kuendelea na kazi zake za siku.

Wakenya wakikerwa na serikali huwa wanajitokeza nje kabisa tena kwa mamilioni, sio kama Watanzania mtajazana humu mkiandika riwaya za mnavyochukizwa na udikteta halafu ikifika siku ya kuitana kwenye maandamano hakuna hata mmoja ataachia keyboard aingie barabarani.
Mtandao wa kijamii wenye Wakenya ambao nimewahi kutumia muda wangu labda ni Wazua. Serious talk about wealth.
Lakini muda mwingi huwa nakwenda Twitter
 
Ni hoja zipi hizo mlizozileta zikawa kweli, maana kwa kweli ni zamani sana tangu nione Mtanzania ameandika chochote chenye mantiki au mashiko humu. Wengi mumezoea same old script za mara Kibera mara Turkana mara SGR Mchina ametupiga, na nikiwaalika mtoe facts data kwa data Mchina ametupiga vipi, mnaishia mipasho.

Kuna uzi niliwahi kuleta humu uliotolea taarifa za kitaalam za SGR yetu, nikawaalika tupelekane hatua kwa hatua mkapiga kimya na kuendelea na nyimbo za Mchina amewapiga Wakenya.

Tatizo lenu kubwa ni kwamba mkikaririshwa kitu, yaani hadi Yesu arudi ndio mtakubali kujiongeza au kutumia akli zenu wenyewe.
Huko Kenyan talks binafsi huwa siendi maana ni vigumu sana kuwakuta Wakenya wamekusanyika kwenye mtandao mmoja kama ilivyo kwa Watanzania hapa JF. Ni rahisi sana kuwakusanya Watanzania wajazane kwenye mtandao mmoja na washinde humo kutwa maana ni hulka yenu ya kiujamaa, hivyo mnaweza kushinda humu mkipiga soga. Wakenya wengi labda uwakute kule Twitter, sehemu ambapo anaandika maneno machache na kuendelea na kazi zake za siku.

Wakenya wakikerwa na serikali huwa wanajitokeza nje kabisa tena kwa mamilioni, sio kama Watanzania mtajazana humu mkiandika riwaya za mnavyochukizwa na udikteta halafu ikifika siku ya kuitana kwenye maandamano hakuna hata mmoja ataachia keyboard aingie barabarani.
Mtandao wa kijamii wenye Wakenya ambao nimewahi kutumia muda wangu labda ni Wazua. Serious talk about wealth.
Lakini muda mwingi huwa nakwenda Twitter
Atuitaji kutoa fact za mchina kuwapiga Kwa sababu maumivu yanakuja soon hayo ndiyo yatakuwa fact
 
Kenya did not expect if the last election of Tz could come up with a leader of this nature (JPM) who would come to reverse evrthng that planned by kenya on a table to exploit other EA countries for him to be superior perhaps to become only a developed country in the region but unfortunately too much knowledge is an agony,now kenya is dying a painful death and asking TZ for cooperation while he neglected Tanzania during his plans for EA sgr planning which took place in Nairobi with UG, RW, SS e.t.c and Unexpectedly Tanzania opted to walk alone and now has become a biggest threat to kenya's economy which seems to fall under a chinnese raping game...Pray for Kenya guys
 
Ni hoja zipi hizo mlizozileta zikawa kweli, maana kwa kweli ni zamani sana tangu nione Mtanzania ameandika chochote chenye mantiki au mashiko humu. Wengi mumezoea same old script za mara Kibera mara Turkana mara SGR Mchina ametupiga, na nikiwaalika mtoe facts data kwa data Mchina ametupiga vipi, mnaishia mipasho.

Kuna uzi niliwahi kuleta humu uliotolea taarifa za kitaalam za SGR yetu, nikawaalika tupelekane hatua kwa hatua mkapiga kimya na kuendelea na nyimbo za Mchina amewapiga Wakenya.

Tatizo lenu kubwa ni kwamba mkikaririshwa kitu, yaani hadi Yesu arudi ndio mtakubali kujiongeza au kutumia akli zenu wenyewe.
Huko Kenyan talks binafsi huwa siendi maana ni vigumu sana kuwakuta Wakenya wamekusanyika kwenye mtandao mmoja kama ilivyo kwa Watanzania hapa JF. Ni rahisi sana kuwakusanya Watanzania wajazane kwenye mtandao mmoja na washinde humo kutwa maana ni hulka yenu ya kiujamaa, hivyo mnaweza kushinda humu mkipiga soga. Wakenya wengi labda uwakute kule Twitter, sehemu ambapo anaandika maneno machache na kuendelea na kazi zake za siku.

Wakenya wakikerwa na serikali huwa wanajitokeza nje kabisa tena kwa mamilioni, sio kama Watanzania mtajazana humu mkiandika riwaya za mnavyochukizwa na udikteta halafu ikifika siku ya kuitana kwenye maandamano hakuna hata mmoja ataachia keyboard aingie barabarani.
Mtandao wa kijamii wenye Wakenya ambao nimewahi kutumia muda wangu labda ni Wazua. Serious talk about wealth.
Lakini muda mwingi huwa nakwenda Twitter
Ktalk = kiberatalk they talk all about flytoilet
 
Ktalk = kiberatalk they talk all about flytoilet

Ona jinsi mlivyo, umeishia kuni-quote mara mbili lakini unaandika ushuzi tu, umepanick tayari na ndio vivi hivi kila siku, huwa hamuna uwezo wa kujadili chochote kinachohitaji matumizi ya ubongo.
 
Ona jinsi mlivyo, umeishia kuni-quote mara mbili lakini unaandika ushuzi tu, umepanick tayari na ndio vivi hivi kila siku, huwa hamuna uwezo wa kujadili chochote kinachohitaji matumizi ya ubongo.
Povu !! Mm nili ingia JamiiForums.com Kwa bashasha nikizani kuna mambo manono na matamu nilicho kikuta sikutegemea nikajua nimeingia choo cha kibera hivyo usinilaumu bure niliingia kibera Kwa bahati mbaya tu
 
Ni hoja zipi hizo mlizozileta zikawa kweli, maana kwa kweli ni zamani sana tangu nione Mtanzania ameandika chochote chenye mantiki au mashiko humu. Wengi mumezoea same old script za mara Kibera mara Turkana mara SGR Mchina ametupiga, na nikiwaalika mtoe facts data kwa data Mchina ametupiga vipi, mnaishia mipasho.

Kuna uzi niliwahi kuleta humu uliotolea taarifa za kitaalam za SGR yetu, nikawaalika tupelekane hatua kwa hatua mkapiga kimya na kuendelea na nyimbo za Mchina amewapiga Wakenya.

Tatizo lenu kubwa ni kwamba mkikaririshwa kitu, yaani hadi Yesu arudi ndio mtakubali kujiongeza au kutumia akli zenu wenyewe.
Huko Kenyan talks binafsi huwa siendi maana ni vigumu sana kuwakuta Wakenya wamekusanyika kwenye mtandao mmoja kama ilivyo kwa Watanzania hapa JF. Ni rahisi sana kuwakusanya Watanzania wajazane kwenye mtandao mmoja na washinde humo kutwa maana ni hulka yenu ya kiujamaa, hivyo mnaweza kushinda humu mkipiga soga. Wakenya wengi labda uwakute kule Twitter, sehemu ambapo anaandika maneno machache na kuendelea na kazi zake za siku.

Wakenya wakikerwa na serikali huwa wanajitokeza nje kabisa tena kwa mamilioni, sio kama Watanzania mtajazana humu mkiandika riwaya za mnavyochukizwa na udikteta halafu ikifika siku ya kuitana kwenye maandamano hakuna hata mmoja ataachia keyboard aingie barabarani.
Mtandao wa kijamii wenye Wakenya ambao nimewahi kutumia muda wangu labda ni Wazua. Serious talk about wealth.
Lakini muda mwingi huwa nakwenda Twitter
ohk boss Mombasa-Nairobi distance can pretty much be compared to Morogoro-Makutupora that has over 140 bridges n several tunnels longest over 3 km, several overpasses with a major one spanning over 3 km topology with more upward n downward slopes yet we pay $1.9 bln for electrical SGR with speed 160km/h vs Kenya's $3.2 bln diesel SGR with speed 110 km/h! Unahitaji maelezo gani mmepigwa?
 
Ona jinsi mlivyo, umeishia kuni-quote mara mbili lakini unaandika ushuzi tu, umepanick tayari na ndio vivi hivi kila siku, huwa hamuna uwezo wa kujadili chochote kinachohitaji matumizi ya ubongo.
Acha kujidanganya Kenya nzima hamna forum inafikia JF. Ndo maana hubanduki humu ndani mwaka wa sita na utafika wa kumi umo humu ndani. Kinachowanyima raha ni Kuwa mmeshindwa ku-dominate humu ndani na siku mnafanikiwa JF itakufa kifo cha Mashada.
 
Acha kujidanganya Kenya nzima hamna forum inafikia JF. Ndo maana hubanduki humu ndani mwaka wa sita na utafika wa kumi umo humu ndani. Kinachowanyima raha ni Kuwa mmeshindwa ku-dominate humu ndani na siku mnafanikiwa JF itakufa kifo cha Mashada.
Yani hawa bora wamejengewa banda lao huku ..wangeachiwa wapuyange kila kona ya jf ingekua majanga
 
Back
Top Bottom