JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Nadhani hamjui Aisha Masaka yuko wp mngeacha kelele za kitoto.Mfungaji bora wa timu anaondoka halafu wala haujasikia longo longo. Kila mtu amepata chake maisha yanaendelea.
Huu uzi ungeunganishwa na nyuzi zote za Fiesal. Ni ushauri msinirushie mawe [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Siyo tu wa kike hata wa kiumewanasoka wengi wa kike wanapenda kucheza Simba queens kwa sababu ni rahisi kuramba dili timu za Ulaya.
Yes, akina Kibu wanapenda sana timu aina ya Simba!Siyo tu wa kike hata wa kiume
Kibu moto wake Vipers wanaujua. Na leo anakiwashaYes, akina Kibu wanapenda sana timu aina ya Simba!
Ni wazo zuri hasa akiwa na kipaji cha asiliSafi sana namimi natamani nikipata katoto kakike kaje kacheze futiboli
Mlimuuza bei gani?Nadhani hamjui Aisha Masaka yuko wp mngeacha kelele za kitoto.
Feisali anaondoka anaenda wapi Timu ipi imeenda ikakaa na Mwajiri wake kuomba huduma yake!?Mfungaji bora wa timu anaondoka halafu wala haujasikia longo longo. Kila mtu amepata chake maisha yanaendelea.
Huu uzi ungeunganishwa na nyuzi zote za Fiesal. Ni ushauri msinirushie mawe [emoji1787][emoji23][emoji1787]
hamkumuuza, alivunja mkataba kama FeisalNadhani hamjui Aisha Masaka yuko wp mngeacha kelele za kitoto.
Opah Clement kafuata taratibu zote sio kama Feisal, know the difference.Sie sio kama Uto kubaini maisha ya mtu. Huo ni uchawi