Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafuata taratibu kulingana na mkataba, kama Feisal. Tambua hiyoOpah Clement kafuata taratibu zote sio kama Feisal, know the difference.
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Wewe hujafahamu tu kwanini watu wengi humu wanapendekeza Aden Rage ajengewe sanamu pale Msimbazi?Feisali anaondoka anaenda wapi Timu ipi imeenda ikakaa na Mwajiri wake kuomba huduma yake!?
Hata sisi huwa tunajiuliza manyani na mambwa wanatoa wapi uwezo wa kureason? Kazi yao ni kubweka bweka tuWewe hujafahamu tu kwanini watu wengi humu wanapendekeza Aden Rage ajengewe sanamu pale Msimbazi?
Kavunja mkataba ?Hayo ndio maisha sio kumbania mtu
Kama tu Chama alivyoshindwa Berkene akurudi nyumbani. Angemwomba Msuva ampe nondo za kukiwasha hukoHuyu atarudi kama alivyorudi yule gaucho aliye enda Morroco.
wachezaji wa simba sc hawawezi kudumu muda mrefu Ulaya.
Kapata dili, kama wenu alivyopata dili
Akina Kibu na Mzamiru hawaitaki hiyo Mamelod?Feisal angekuwa yuko Mamelod ingekuwa ni simba.
Wangembania hadi akawa bibi kizeeAngekuwa wa upande mwingine angezeekea pale. Bora alikuwa Simba
[emoji2]Wewe hujafahamu tu kwanini watu wengi humu wanapendekeza Aden Rage ajengewe sanamu pale Msimbazi?