Oparesheni 255 yatikisa Nchi, Magazeti yaanza kuishambulia CHADEMA ili kuokoa CCM

Oparesheni 255 yatikisa Nchi, Magazeti yaanza kuishambulia CHADEMA ili kuokoa CCM

tunajidang'anya mie ni CCM na sihami ng'o lakini Upinzani (hapa sizungumzii CDM) wakiondoa tofauti zao na kuwa kitu kimoja wakigundua kwamba CCM Inafanya mchezo wa divide and rule wakasimama kwa pamoja na kwa umoja CCM haitatoboa.
 
Majukwaa yote yanayotumika hujengwa na wenyeji wetu kila tunapopita , Chopa au V8 haina uwezo wa kubeba Jukwaa lolote , tutaendelea kutumia majukwaa yanajengwa na wadau hadi utakapopatikana Ukombozi Kamili , kwanza ni heshima kwao pia kwa sisi kutumia vya kwao

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Umeongea KWELI, nimeona Leo KATAVI vijijini Mh Mbowe akihutubia kwenye jukwaa kama lile alilotumia Lisu la miti,

Kweli KAZI ya Ukombozi Si ya kitoto. Tunawaombea viongozi wa CDM Mungu awalinde.

KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi ni sasa. Na Tume ya Uchaguzi kamwe haitahodhi mchakato wa KATIBA mpya.

Itungwe SHERIA bungeni, mchakato uendelee na kukamilika kabla ya Uchaguzi wa MITAA 2024.

Amen
 
Tunarudia tena kwa mara nyingine kuonya kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Looh, hii ☝️☝️☝️statement imenifanya nikukwoti kwa furaha na ujasiri..

Huu ni ukweli wa asili (natural truth) na uliotukuka kwelikweli..!!

Ni kweli shetani hajawahi kumshinda Mungu muumba..
 
Chadema ishajifia, imebaki hadithi na jina.
1685026477844.png

=
1685026499641.png

Hii ni leo,
 
Mnatikisa nchi mnashindwa kuitikisa CCM, hiyo haina tofauti na kutikisa sehemu za siri
 
Umeongea KWELI, nimeona Leo KATAVI vijijini Mh Mbowe akihutubia kwenye jukwaa kama lile alilotumia Lisu la miti,

Kweli KAZI ya Ukombozi Si ya kitoto. Tunawaombea viongozi wa CDM Mungu awalinde.

KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi ni sasa. Na Tume ya Uchaguzi kamwe haitahodhi mchakato wa KATIBA mpya.

Itungwe SHERIA bungeni, mchakato uendelee na kukamilika kabla ya Uchaguzi wa MITAA 2024.

Amen
Ameen ameeni
 
Back
Top Bottom