Oparesheni ||| vipi haiji?

Okay umejitahidi kueleza kwa kuna, kudos. mm Sina maelezo mengi zaidi ya kukuambia kuwa Nukes za Maayatollah wa Iran are on notice na vinaondoka hivyo kabla ya Trump kuingia White House. I bookmark your posting
 
Okay umejitahidi kueleza kwa kuna, kudos. mm Sina maelezo mengi zaidi ya kukuambia kuwa Nukes za Maayatollah wa Iran are on notice na vinaondoka hivyo kabla ya Trump kuingia White House. I bookmark your posting
Watu wana vikwazo toka 1970s na wamefika hapo, wamepita maraisi wakorofi na wapenda vita kuliko Trump na walishindwa kuiangusha Iran...
 
Watu wana vikwazo toka 1970s na wamefika hapo, wamepita maraisi wakorofi na wapenda vita kuliko Trump na walishindwa kuiangusha Iran...
Lakini pia ukumbuke Biden ameisaidia sana iran hivi karibuni ndio maana wanekuwa na ubabe hivi karibuni
Shambulio la hivi karibuni kabla lilivujishwa kwanza lakini israel ilipiga.
Unaweza tupa assessment ya vitu vilivyopigwa
 
Lakini pia ukumbuke Biden ameisaidia sana iran hivi karibuni ndio maana wanekuwa na ubabe hivi karibuni
Shambulio la hivi karibuni kabla lilivujishwa kwanza lakini israel ilipiga.
Unaweza tupa assessment ya vitu vilivyopigwa
Hakuna cha kushangaza Israel kurusha missiles ama ndege kwenda kupiga Iran, hakuna air defenses zipo asilimia 100 uhakika kuzuia mashambulizi.

Lakini vita itakapoanza tambua tu pande zote wataumia na Israel itaumia zaidi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…