Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

wacha ubaguzi mkuu. Mi mbona simo mkuu
The bold
?
Kweli wewe kilaz*a sana unataka uwemo [emoji23][emoji23] kama ni mwanaume utakuwa na chembe za kukalia vilivyo simama, unataka uwemo kwenye nini ? Kwani stori hujaisoma? Usiwe unalalamika kama Kitanda, pumbafuuuuu sana..

Kwani wote waliosoma hii stori the bold amewatag?.

Masharubu ya inzi
 
Kwa jinsi unavowahabarisha watu na wanavokushukuru,mkuu The Bold uhakika wa kwenda peponi ni tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa
Kama Yanga walivyochukua kombe la VPL mkuu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wee mi haniwezi tena aombe asiingie anga zangu[emoji23] [emoji23]

Nitamvuruga vuruga kama makanikia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nakuaminia mama.
 
Hivi kitabu changu cha 90 minutes at Entebe aliazima mshikaji ulikipata bro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…