Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Yeah... Alafu kitengo cha weledi wa kijeshi cha Delta Force kinafanana kabisa kimajukumu na kitengo cha Sayeret Matkal ya Israel waliotekeleza hii Oparesheni..
Kaka, naisubiri awamu ya pili ya toleo lako, hata kama sina bando lazima nikope tu halafu ile ya jaza ujazwe tutalipana pole pole.
 
Cinema
Duuuuuh lile picha nimewahi kuliangalia kitambo ila silikumbuki vizuri.
Na wala sijapata picha ya kuoanisha na hii story,nikipata muda nitacheki tena upya.
zenye jina la Delta force za huyo kaka mkubwa Chuck Norris zipo kama 3 hivi ninazo zifahamu. Moja ni ile ya madawa ya kulvya kule America ya kusini, ile ya mateka wa vita vya Vietnam na hiyo ya kutekwa kwa ndege ya abiria. Picha linaanzia Iran sijui delta force walienda kumwokoa nani, magaini wakalipua chopper na mshkaji wake Chuck Norris alisalia ndani ya ndege, jamaa aka risk maisha na kwenda kumwokoa yule dogo, wakiwa angani ndio sasa Chuck akatangaza ku resign hi kazi. Ndege ya abiria ya USA inatoka zake Athens to New York kupitia Rome Italy ndio ikakutana na hao wanaume wa Kiarabu, aise no bonge la movie Nifah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Na hapa ujue wewe ni adui yake tayari.
Ukiwa rafiki yangu tu,umenunua ugomvi hahaha.
Wee mi haniwezi tena aombe asiingie anga zangu[emoji23] [emoji23]

Nitamvuruga vuruga kama makanikia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom