Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Mkuu nimesoma comment yako ya kwanza na response yako kwa mawe unayorushiwa ulikuwa sahihi problem is kila unachokiandika hapa usitegemee kuwa kila mtu ataelewa ulimaanisha nini ...kwa upande wangu uko sahihi
You can't explain to everyone Mkuu
"be responsible for what you wrote not how are thee going to understand it"
 
Ahsanteh mzee jumatatu njemah.Samahani kama nimekukwaza,kazi njema
 
Adabu yangu ni kubwa sana kuliko wewe uliyeandika hivi!
 
Adabu yangu ni kubwa sana kuliko wewe uliyeandika hivi!
Sema ulikosea sanah uliposema huu uzi hauna jipya la kujadili,umesahau humu kila uchwao kuna member wapya wanajiunga na hiyo post yako hawakuiona,

kwa kifupi nikutakie jumatatu njemah
 
Tatizo lako ni kutaka uonekane mjuaji. Unadhani wote humu ndio kwanza wanasoma kisa hiki?

Hebu pitia uchambuzi wako na huu wa the Bold utajua kwanini kila ukiandika unakumbana na kejeli
Sihitaji kuonekana mjuaji JF kwani hiyo hainisaidii chochote katika maisha yangu ya kila siku. Nimeshachangia mada nyingi sana hapa JF kwa zaidi ya miaka kumi na wala sijawahi kudai credit yoyote wala kumtupia matusi mtu yeyote ambaye hakukubaliana nami.
 
Sema ulikosea sanah uliposema huu uzi hauna jipya la kujadili,umesahau humu kila uchwao kuna member wapya wanajiunga na hiyo post yako hawakuiona,

kwa kifupi nikutakie jumatatu njemah
Sikuona jipya la kuchangia, huo ni ukweli- lakini sikusema kuwa watu wasisome. Lakini yote hayo yasingekuja iwapo mtu asingenibeza kuwa eti "basi na wewe andika..."

Wakati mada inaendelea na unaipenda basi ifuatilie kwa makini; acha tabia ya kutoa matusi kwa watu wa pembeni kupitia thread hiyo hiyo kwa sababu unaweza kudreail mada yote.
 
Sikuona jipya la kuchangia, huo ni ukweli- lakini sikusema kuwa watu wasisome. Lakini yote hayo yasingekuja iwapo mtu asingenibeza kuwa eti "basi na wewe andika..."
sasa si ungekausha kama una busara kwanini utumie kosa la mtu mmoja kukejeli kazi ya mwenzako
 
.... huenda hiyo feeling ndiyo inayosababisha mambo haya yote... ni feeling mbovu kwa kizazi kuamini kuwa asiyekusifu basi anakuonea wivu!!! Usifanye jambo kusudi watu wakusifie na wale wasokusifia watakuwa wanakuonea wivu.
wacha ushoga mzee!
 
Ww una wivu mwenzako kaangalia hizo documentary na kusoma vitabu kisha kaja na uchambuzi wake kwa lugha rahisi ili waelewe watu wengi badala yake ww unaanza kusema oooh kakopi na kupesti utadhani hivyo vitabu na documentaries umetengeneza ww acha majungu nyinyi ndio wale watu kazi yenu kukatisha watu tamaa
 
Wivu wa nini? kuhusu makala za JF? You must be kidding!!! Come on! Kwanza hapa JF siku hizi mimi sipost sana.
 
Haya Basi yameisha wakuu ...tunapoona new notification kwenye hii thread tunajua mzee wa kazi kashapost mwendelezo
 
Asanteni kwa stories zakuvuta mda wa sehemu ya nne ifike
 
Mbona #3 sijaiona?? Inaandika Bofya hapa kupata #3 Nikibofya inanipa tena #1 na #2!!
 

Dah! Shikamoo baba! Umekula chumvi kwa kweli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…