Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

M
Ng'wana wane, umenifurahisha kupita maelezo. NIlikuwa mdogo kaka yangu ndio alikuwa anatuelezea hayo matukio ukizingatia wala tv hazikuwepo ni viredio uchwara lakini it was fine by then. Hilo jina la Ida na huyo Dora niivishika sana. Kumbe alikufa pia kijana mwingine sie tuliambiwa ni huyo Ida pekee. Duuu so many people died. All in all sote tutakwenda tu. Nasubiria hizo nyinyinge kwa bashasha haswaaaa. Thank you
 
Reactions: B40
Kitu kinachonisumbua ni kwamba wakati ndege zinatua zilijitambilisha kuwa ndege za wapi kwa air controler
 
acha ujinga wa kuqoute uzi wote kisa kaka alikusimulia fara ww
 
Nakupenda bure. Yani unanifundisha vitu ambavyo bila humu nisingekaa nikavijua. Ubarikiwe sana kaka angu
 
Hivi ukiandika bila kuqoute Uzi wote hutasikika?au ni ushamba tu
 
Aisee wewe [HASHTAG]#the Bold[/HASHTAG] Nimekukubali sana sikuwahi kusoma makala tamu na za kueleweka kama hizi zako. Keep it up
 
Ndvyo nipendavyo mie. Sasa we unaisoma tena ya nini? Au nakuzibia nafasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…