Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The guy was a good commander, wanasema alikuwa rafiki wa kila mtu chini yake! Ndo maana walihuzunika kwa kifo chake!Kabisa... Hata Ehud Barak alikuwa Kenya anawasubiri yale madege yarudi... Anasema kuwa yalipotua Uwanja wa Jomo Kenyatta alishangaa makomando na waliokolewa wakiwa na huzuni tofauti na alivyotarajia kuwa wangetua wakishangilia kwa shangwe... Alipowauliza kwanini hawana furaha ndipo wakampa taarifa ya kifo cha Yonatan Netanyahu...
cc: The boldThe bold nna swali; ulisema kuna mama alijifanya anaumwa mimba imetoka akaachiwa, ukasema hilo tukio litakuja kuwasaidia baadae
liliwasaidia kwa namna gani?
unapeleka siku mbeleBold hio mpya bado leo ijumaa
Alhamisi leo.Bold hio mpya bado leo ijumaa
eee kweliNgoja nisiscribe
swali zuriKitu kinachonisumbua ni kwamba wakati ndege zinatua zilijitambilisha kuwa ndege za wapi kwa air controler
Tunasubiri operation nyingineTayari mkuu... Nenda post # 578 au nenda post # 1 nimeweka link
Umeeona eeh,,eee kweli
Mbona alisema kwamba aliwapa mwanga wale watekaji wakoje na wana silaha gani
Who killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?Yeah Netanyahu alikuwepo ila ni mkubwa (kaka yake huyu Netanyahu Waziri Mkuu wa Sasa)
Jina lake alikuwa aitwa Yonatan Netanyahu... Yeye ndiye aliongoza 'assault team' ya makomando wa Sayeret Matkal walioingia Entebbe.
Nitaongelea kwa undani sehemh inayofuata..
Ufanyeje? Elezea kidogo mkuuNgoja nisiscribe
Kwa ajili ya matumizi ya badaeUfanyeje? Elezea kidogo mkuu