Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

The guy was a good commander, wanasema alikuwa rafiki wa kila mtu chini yake! Ndo maana walihuzunika kwa kifo chake!
 
Ni zaidi ya movie kaka! Salute kwako [HASHTAG]#The[/HASHTAG] Bold
 
nipo hapa nasubir mzigo mpya kuyoka kwa Kichwa.nakula zangu ujugu na asali lets go kichwa
 
Who killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…