Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

The bold????? Yupo wapi huyu raia bado anatumikia ban?
 
Hadi anuani ya blog wameiban ukikopi na kupaste inakuja nyota nyota webpage haipatikani
Mkuu,hebu niwekee hata kwa kuchomekeachomea alama ili tu niipate hiyo anwani ya The bold maana naikumbukakumbuka kidogo,then ntatumia web nyingine kumsaka.

JF nao wameshafanya wasioshaurika ili wamsamehe mshikaji.
 
Mkuu,hebu niwekee hata kwa kuchomekeachomea alama ili tu niipate hiyo anwani ya The bold maana naikumbukakumbuka kidogo,then ntatumia web nyingine kumsaka.

JF nao wameshafanya wasioshaurika ili wamsamehe mshikaji.
Digital drimz africa........sijui nitapigwa ban.
 
Soon u'll be back
 
[HASHTAG]#where[/HASHTAG] is the bold?

Kama kuna group ya whatsapp ya kupata story zake za kijasusi etc naombeni mwenye kujua taratibu za kwenda huko anisaidie nimpe namba aniadd

Niliskia alipewa ban nimemis stories zake honestly

Cc
Niffah
Mshana Jr.
Na wakongwe wengine humu
 
Mwezi huu ilikuwa arejee lakini hadi sasa haonekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…