Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Habari za Asubuhi mkuu The Bold? Nakutakia Eid Njema.
 
Mkuu The bold hizi documentary zako unazicompile kwenye vitabu.? Au ziko ki social media zaidi.?
 
Kwa nini unakosa ustaarabu...

Huu unaofanya ni utoto! Kwa nini usifurahie kusoma makala bila kukera wengine...

Grow up man!
Mkuu hilo ni lijinga na lipumbavu kabisa..
Mijitu ya hivyo ni ku ignore isione post zako..
 
$a Xbox scss$$ sac acz
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Dah kuna watu wanamaudhi umu ndan mpk ujakosa cha kusema
Imenibid nifurahi tu maan hamna namn[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ukweli nimefurahi kuijua hiyo ya waisrael uganda. Ingekuwa kitabu ningeanza kununua. Big up mleta post.
 
Waisrael wameanza mambo ya kuokoa mateka wao tangu enzi za musa, mfalme Daudi na wengine. Siwezi kushangaa hili ndio taifa linaloongoza kuwa na uzoefu wa vita na kushinda kwa muda mrefu. Ibarikiwe israeli.
 
Back
Top Bottom