Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Our people,

Asanteni sana kwa ushirikiano mliouonesha jana kuhusiana na suala hili la ban aliyopigwa The bold.

Was epic! Sikuwahi kufikiri kama watu mnatuelewa na kutupenda namna hii. Mliivamia PM na WhatsApp kiasi nilichoka hadi nikashindwa kuaga usiku wa jana kama nilivyoahidi.

Again,nawashukuru nyote mliotutafuta kutupa moyo,nawashukuru nyote mlioonesha kuguswa na hili.

Jana nimetafakari sana utetezi waliouleta JF. Halafu baada ya utetezi wakaufunga uzi,wakaufungua,wakaufunga tena na kufuta comments nyingi sana,sawa.

Ninachoweza kusema ban hii imetolewa kwa 'mihemuko'! Haiingii akilini 'kosa' (kama wanavyosema wao) la kuweka link lipelekee mtu kupigwa ban ya miezi minne kasoro!
From 2nd July to 18th October!

Maana kama kosa ndio hilo kulikuwa na haja gani ya kuufunga uzi aliokuwa akihojiwa?
Huu si ndio udikteta tunaoupigia kelele humu?
Huwezi ukampiga mtu ban kwa 'kosa' la kuweka link na ufunge uzi aliokuwa akihojiwa halafu useme ukweli unapotoshwa!

Jana nilitoa ahadi,na daima husimamia kile ninachokiahidi. (Nina msimamo mkali kuliko Hayati Gaddafi lol)
Naungana na mwenzangu ktk ban yake ya miezi minne.
Kubaki kwangu mimi hapa ni kuunga mkono udhalimu aliofanyiwa.

Huu ni ujumbe wangu wa mwisho hadi hapo atakapofunguliwa Bold,in fact hakuna atakayebaki huku milele ila maandiko yetu.
Na hata maandiko yetu yakifutwa humu naamini hayatoweza kufutwa mioyoni mwenu.


#TUONANEOCTOBER18#

Nifah

Yeyote atakayehitaji kuwasiliana nasi atutafute kupitia namba hizi 0718 096 811.

Kwaherini [emoji4] [emoji136]
 
Our people,

Asanteni sana kwa ushirikiano mliouonesha jana kuhusiana na suala hili la ban aliyopigwa The bold.

Was epic! Sikuwahi kufikiri kama watu mnatuelewa na kutupenda namna hii. Mliivamia PM na WhatsApp kiasi nilichoka hadi nikashindwa kuaga usiku wa jana kama nilivyoahidi.

Again,nawashukuru nyote mliotutafuta kutupa moyo,nawashukuru nyote mlioonesha kuguswa na hili.

Jana nimetafakari sana utetezi waliouleta JF. Halafu baada ya utetezi wakaufunga uzi,wakaufungua,wakaufunga tena na kufuta comments nyingi sana,sawa.

Ninachoweza kusema ban hii imetolewa kwa 'mihemuko'! Haiingii akilini 'kosa' (kama wanavyosema wao) la kuweka link lipelekee mtu kupigwa ban ya miezi minne kasoro!
From 2nd July to 18th October!

Maana kama kosa ndio hilo kulikuwa na haja gani ya kuufunga uzi aliokuwa akihojiwa?
Huu si ndio udikteta tunaoupigia kelele humu?
Huwezi ukampiga mtu ban kwa 'kosa' la kuweka link na ufunge uzi aliokuwa akihojiwa halafu useme ukweli unapotoshwa!

Jana nilitoa ahadi,na daima husimamia kile ninachokiahidi. (Nina msimamo mkali kuliko Hayati Gaddafi lol)
Naungana na mwenzangu ktk ban yake ya miezi minne.
Kubaki kwangu mimi hapa ni kuunga mkono udhalimu aliofanyiwa.

Huu ni ujumbe wangu wa mwisho hadi hapo atakapofunguliwa Bold,in fact hakuna atakayebaki huku milele ila maandiko yetu.
Na hata maandiko yetu yakifutwa humu naamini hayatoweza kufutwa mioyoni mwenu.


#TUONANEOCTOBER18#

Nifah

Yeyote atakayehitaji kuwasiliana nasi atutafute kupitia namba hizi 0718 096 811.

Kwaherini [emoji4] [emoji136]
KISEBUSEBU NA KIROHO PAPO. Inawawia vigumu kusema kuikosa JF kwenu ni kama kuugua . Malalamiko mengi kama vile mlizaliwa na JF! Waungwana wakipigwa ban hawalalamiki, wanarejea kimya kimya. Povu jingi utadhani JF ilianzishwa kwa ajili yenu bwana. Anyway... Enjoy your ban
 
Our people,

Asanteni sana kwa ushirikiano mliouonesha jana kuhusiana na suala hili la ban aliyopigwa The bold.

Was epic! Sikuwahi kufikiri kama watu mnatuelewa na kutupenda namna hii. Mliivamia PM na WhatsApp kiasi nilichoka hadi nikashindwa kuaga usiku wa jana kama nilivyoahidi.

Again,nawashukuru nyote mliotutafuta kutupa moyo,nawashukuru nyote mlioonesha kuguswa na hili.

Jana nimetafakari sana utetezi waliouleta JF. Halafu baada ya utetezi wakaufunga uzi,wakaufungua,wakaufunga tena na kufuta comments nyingi sana,sawa.

Ninachoweza kusema ban hii imetolewa kwa 'mihemuko'! Haiingii akilini 'kosa' (kama wanavyosema wao) la kuweka link lipelekee mtu kupigwa ban ya miezi minne kasoro!
From 2nd July to 18th October!

Maana kama kosa ndio hilo kulikuwa na haja gani ya kuufunga uzi aliokuwa akihojiwa?
Huu si ndio udikteta tunaoupigia kelele humu?
Huwezi ukampiga mtu ban kwa 'kosa' la kuweka link na ufunge uzi aliokuwa akihojiwa halafu useme ukweli unapotoshwa!

Jana nilitoa ahadi,na daima husimamia kile ninachokiahidi. (Nina msimamo mkali kuliko Hayati Gaddafi lol)
Naungana na mwenzangu ktk ban yake ya miezi minne.
Kubaki kwangu mimi hapa ni kuunga mkono udhalimu aliofanyiwa.

Huu ni ujumbe wangu wa mwisho hadi hapo atakapofunguliwa Bold,in fact hakuna atakayebaki huku milele ila maandiko yetu.
Na hata maandiko yetu yakifutwa humu naamini hayatoweza kufutwa mioyoni mwenu.


#TUONANEOCTOBER18#

Nifah

Yeyote atakayehitaji kuwasiliana nasi atutafute kupitia namba hizi 0718 096 811.

Kwaherini [emoji4] [emoji136]
Kama umeamua basi nakuunga mkono
 
Our people,

Asanteni sana kwa ushirikiano mliouonesha jana kuhusiana na suala hili la ban aliyopigwa The bold.

Was epic! Sikuwahi kufikiri kama watu mnatuelewa na kutupenda namna hii. Mliivamia PM na WhatsApp kiasi nilichoka hadi nikashindwa kuaga usiku wa jana kama nilivyoahidi.

Again,nawashukuru nyote mliotutafuta kutupa moyo,nawashukuru nyote mlioonesha kuguswa na hili.

Jana nimetafakari sana utetezi waliouleta JF. Halafu baada ya utetezi wakaufunga uzi,wakaufungua,wakaufunga tena na kufuta comments nyingi sana,sawa.

Ninachoweza kusema ban hii imetolewa kwa 'mihemuko'! Haiingii akilini 'kosa' (kama wanavyosema wao) la kuweka link lipelekee mtu kupigwa ban ya miezi minne kasoro!
From 2nd July to 18th October!

Maana kama kosa ndio hilo kulikuwa na haja gani ya kuufunga uzi aliokuwa akihojiwa?
Huu si ndio udikteta tunaoupigia kelele humu?
Huwezi ukampiga mtu ban kwa 'kosa' la kuweka link na ufunge uzi aliokuwa akihojiwa halafu useme ukweli unapotoshwa!

Jana nilitoa ahadi,na daima husimamia kile ninachokiahidi. (Nina msimamo mkali kuliko Hayati Gaddafi lol)
Naungana na mwenzangu ktk ban yake ya miezi minne.
Kubaki kwangu mimi hapa ni kuunga mkono udhalimu aliofanyiwa.

Huu ni ujumbe wangu wa mwisho hadi hapo atakapofunguliwa Bold,in fact hakuna atakayebaki huku milele ila maandiko yetu.
Na hata maandiko yetu yakifutwa humu naamini hayatoweza kufutwa mioyoni mwenu.


#TUONANEOCTOBER18#

Nifah

Yeyote atakayehitaji kuwasiliana nasi atutafute kupitia namba hizi 0718 096 811.

Kwaherini [emoji4] [emoji136]
Sawa ila sisi ngozi nyeusi tuna matatzo sana yani najiuliza hivi JF ndio wangekuwa FACEBOOK si ndio ingekuwa balaa maana uongozi wa JF ni wakidikteta
 
Sawa ila sisi ngozi nyeusi tuna matatzo sana yani najiuliza hivi JF ndio wangekuwa FACEBOOK si ndio ingekuwa balaa maana uongozi wa JF ni wakidikteta
Acheni hulka za kitumwa. Kama ni madikteta achaneni nao tu wabaki na sheria zao, kwa nini kuendeshwa kidikteta? Hakika utumwa hautaisha kwa staili ya watu hawa
 
KISEBUSEBU NA KIROHO PAPO. Inawawia vigumu kusema kuikosa JF kwenu ni kama kuugua . Malalamiko mengi kama vile mlizaliwa na JF! Waungwana wakipigwa ban hawalalamiki, wanarejea kimya kimya. Povu jingi utadhani JF ilianzishwa kwa ajili yenu bwana. Anyway... Enjoy your ban
Povu la nn mkuu ...wana aga kwa sababu wamepata support ya nguvu kutoka kwa wadau wengi ..
 
Kama kuna ban imepita nawashauri The bold na jF wayamalize tho hapa ni ishu ya maslahi coz Jf wanaamin hawajaja kuuza sura Mjini,Hizi stori wanaona the bold katumia kama kupiga hela hasa wasap kule tho nahis wangekua wanagawana kiasi flan maisha yanaenda.Ni hayo tu mana Jf wamekomaa sana mpaka kufika hapa Programming na mambo ya code sio mchezo.
Eti wagawane
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwani kwa mfano thread zetu zinazoiingizia hela JF ambayo ndo mshahara wao hawa wapiga ban pia bando tunalotumia mbona JF hawagawani hela na mtu ?

Au unapenda watu wauze sura tu humu
Kumbuka umaarufu ambao haukuingizii pesa ni kazi bure
 
Nakumbuka wakat nipo sekondari mm na kikundi changu cha watu watano tuliwahi kuendesha kwa mafanikio makubwa operation ambayo leo hii naiita operation papuchi.lengo lilikuwa ni kupiga papuchi za mabinti wzuri waliokuwa wanalinga na kujisikia pale shuleni.tulipiga papuchi za kutosha kwa mafanikio makubwa.
 
Back
Top Bottom