Kitendo cha website ya open university kutokufanya kazi vizuri ni cha aibu sana, ni zaidi ya miezi minne sasa website hii inasumbua sana. ikumbukwe kuwa open university ina wanafunzi ulimwengu mzima na wote wanategemea taarifa kutoka kwenye web hiyo!
Ndio nchi nzima iko hivyo. Website zinazofanyakazi vizuri tena update ni za udaku tu. Lakini Mawizara, Idara na Taasisi zake zimejaza hotuba za bajeti basi. Very sad