Open University of Tanzania imepatwa na nini kwani?

Open University of Tanzania imepatwa na nini kwani?

Lethergo

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2023
Posts
6,534
Reaction score
11,421
Wakuu salamu.

Ningependa kwa anaejua hivi Open University of Tanzania website yao imepatwa na ugonjwa gani?

Kuna mdau alifanya application ya kuomba nafasi undergraduate kwa kutumia Online application cha kushangaza baada ya hapo ni kwamba km website imepotea hajui km amechaguliwa au hajachaguliwa.

Website imebuma kila akijaribu kuingia ili aone km kuna muendelezo wowote website inaleta chenga tu.

Km wapo humu wahusika emu watupe maelezo hii imekaaje website inakua down kiasi hiki mpaka inatisha hivi?
Screenshot_20241013-012637.png
Screenshot_20241013-012701.png
 
Wakuu salamu.

Ningependa kwa anaejua hivi Open University of Tanzania website yao imepatwa na ugonjwa gani?

Kuna mdau alifanya application ya kuomba nafasi undergraduate kwa kutumia Online application cha kushangaza baada ya hapo ni kwamba km website imepotea hajui km amechaguliwa au hajachaguliwa.

Website imebuma kila akijaribu kuingia ili aone km kuna muendelezo wowote website inaleta chenga tu.

Km wapo humu wahusika emu watupe maelezo hii imekaaje website inakua down kiasi hiki mpaka inatisha hivi?View attachment 3123101View attachment 3123102
Open (Wazi)
 
Wakuu salamu.

Ningependa kwa anaejua hivi Open University of Tanzania website yao imepatwa na ugonjwa gani?

Kuna mdau alifanya application ya kuomba nafasi undergraduate kwa kutumia Online application cha kushangaza baada ya hapo ni kwamba km website imepotea hajui km amechaguliwa au hajachaguliwa.

Website imebuma kila akijaribu kuingia ili aone km kuna muendelezo wowote website inaleta chenga tu.

Km wapo humu wahusika emu watupe maelezo hii imekaaje website inakua down kiasi hiki mpaka inatisha hivi?View attachment 3123101View attachment 3123102
Nenda kwenye Regional Centre iliyopo jirani kipindi hiki cha applications server

inaweza kuzidiwa na idadi ya watu wanaotumia ni kawaida sio kwa OUT hata kwingine
inakuwa hivyo.
 
Nenda kwenye Regional Centre iliyopo jirani kipindi hiki cha applications server

inaweza kuzidiwa na idadi ya watu wanaotumia ni kawaida sio kwa OUT hata kwingine
inakuwa hivyo.
Kwa hio huko centre ndio watatoa majibu? Ila hiki Chuo kikubwa cha Serikali inakuaje kinakua na uzamani mwingi mboni vyuo vingine Server zipo on hata ishambuliwe vipi mfano mdogo UD Server haijawahi kuzima kizembe zembe km hawa? hii inaenda wiki sasa website imezima kila ukiingia website imezima hadi unajiuliza
 
Kwa hio huko centre ndio watatoa majibu? Ila hiki Chuo kikubwa cha Serikali inakuaje kinakua na uzamani mwingi mboni vyuo vingine Server zipo on hata ishambuliwe vipi mfano mdogo UD Server haijawahi kuzima kizembe zembe km hawa? hii inaenda wiki sasa website imezima kila ukiingia website imezima hadi unajiuliza
Wewe choma nauli wafuate huko huko centre mkuu usianze kufananisha vyuo itakuchanganya kila Chuo kina muongozo wake labda hao muongozo wao ni kuzima Server ili muonde mkasumbuane huko huko, kwa hio hata hawajamjulisha kwa email au namba yake ya simu kwamba amechaguliwa au hajachaguliwa?
 
Wewe choma nauli wafuate huko huko centre mkuu usianze kufananisha vyuo itakuchanganya kila Chuo kina muongozo wake labda hao muongozo wao ni kuzima Server ili muonde mkasumbuane huko huko, kwa hio hata hawajamjulisha kwa email au namba yake ya simu kwamba amechaguliwa au hajachaguliwa?
Hakuna alichojulishwa chochote na majina ya waliochaguliwa yameshatoka kitambo
 
Hakuna alichojulishwa chochote na majina ya waliochaguliwa yameshatoka kitambo
Aliomba round ipi mbona majina ya first round na second round niliyaona

kwenye website yao juzi na hata jana. Alafu tatizo nyie mnasubiria mpaka deadline ndio
mna haha
 
Aliomba round ipi mbona majina ya first round na second round niliyaona

kwenye website yao juzi na hata jana. Alafu tatizo nyie mnasubiria mpaka deadline ndio
mna haha
Emu jaribu kuingia muda huu uangalie au km una hizo PDF mpandishie hapa azione
 
Back
Top Bottom