Open University of Tanzania imepatwa na nini kwani?

Open University of Tanzania imepatwa na nini kwani?

Nimejaribu muda huu imekubali hii ni list ya waliochaguliwa round ya pili. Wale wa first round PDF

Sijaiona itakuwa wameitoa labda ilikuwa na wanafunzi wengi zaidi.
Hayupo humu
 
Aende Centre ili kama hakupata nafasi mwanzo afanye applications

upya before deadline.
Before deadline kivipi wakati alishalipia? Kwa hio alipie tena kwa mara nyingine?
 
Websites, emails na mawasiliano ya taasisi za bongo ni mapambo tu either hazipo hewani au hazijibiwi kabisa.
 
Back
Top Bottom