amaizing grace
Member
- Sep 24, 2014
- 41
- 27
samahan @ mtwa mkulu ni kweli unasoma open university of tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chuo ni kizuri sana kuna aina tofauti za ufundishaji wale wa mbali wanaojitegemea, wanaongia usiku na hao wakawaida et kuhusu watu wazima mi nadhan wanafunzi wote vyuo vikuu ni watu wazima zaidi ya apo wengi wapo kwenye program za usiku na distance learning! kwaio asiwe na shaka mwache dogo asome tena akipata cha dsm mambo ndo superB
Lakn waheshimiwa pale open watu wanapata mikopo kama vyuo vingine au? kwamaana hata sielewi kitu na nimechaguliwa pale
Pia kuna watu wanasema eti mwanafunz ndo unawajibu wa kumtafuta lecturer ina maana kwenye icho chuo malecturer hamna?
Tumia njia za panya.samahani c out ni open university...amechaguliwa hapo lkn nataka nimbadilishe nimpele chuo kingine naomba mnisaidie nitumie njia zipi
samahan @ mtwa mkulu ni kweli unasoma open university of tanzania?
yaaa nipo pale
Je, bachelor of science with education open university ntapata mkopo kweli maana ndo nimechaguliwa icho chuo wakuu
samahani c out ni open university...amechaguliwa hapo lkn nataka nimbadilishe nimpele chuo kingine naomba mnisaidie nitumie njia zipi
mkopo unapata uhakika laki 800..mdogo wangu amepata hapo ila namuamisha chuo nimeenda kumtafutia DUCE na kombi ni bachelor science with education nakushauri fanya taratibu za uhamisho open hutopaweza