Operation Sangara Tanga imekuwaje?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
Tunataka kufahamu reaction ya wananchi huko Tanga leo imekuwaje? Je Chadema bado wana momentum ile ya mwanzo? Mnyika njoo utupe jibu humu ndani na tunataka na pícha za umati!
 
Tunataka kufahamu reaction ya wananchi huko Tanga leo imekuwaje? Je Chadema bado wana momentum ile ya mwanzo? Mnyika njoo utupe jibu humu ndani na tunataka na pícha za umati!

Hivi nyie mnaotaka Mnyika awape majibu yaliyoambatana na picha ni akina nani ? Hata hivyo kwa kukusaidia, waandishi wanaofuatilia wapo kama huyu hapa.

Nina imani kuwa pamoja na dua za kuku, Chadema, chama mbadala, itaendelea kuwapo.
 
We are hopeful!
And of course, we will support you CHADEMA!
 
Kikwete alichaguliwa na wananchi kutokana na rekodi ya kucheka na mvuto na si kwa rekodi ya utendaji bali. Kwa hiyo anaendeleza rekodi yake.
 
haya sasa ndio matunda yao na pia Hongera sana kwa ajili ya kazi yenu
 


Mkutano wa operation sangara Tanga. Hapo ni mbowe akihutubia maelfu ya wananchi wa jiji hilo. Picha kwa hisani ya Michuzi blog.
 


Kwa mbali ni helkopta iliyo wapeleka viongozi wa CHADEMA ktk mkutano wao wa uzinduzi wa operation sangara mkoani Tanga jana. Picha kwa hisani ya michuzi blog.
 


Mh. Myika akiwahutubia maelfu ya wananchi wa jiji la Tanga jana ktk uzinduzi wa operation sangara mkoani humo. Picha zote kwa hisani ya Michuzi blog.
 
Yes you are right Mbowe

President Jakaya Kikwete.
Ikiwa CHADEMA, CUF na vyama vingine vya upinzani havitajiunga na kuunda Umoja na KAMPENI ya pamoja dhidi ya CCM, Huyu Mh. Kwenye picha hapo juu atapeta 2010 Bili KELELE WALA MIKWARUZO. Akiweza tu kuwaweka sawa CCM wenzake kwa Wapinzani ni KIRARE (lugha ya Tanga) au kwa SADALA (lugha ya Moshi/Arusha) kwa ufasaha ni Mteemko tu.
 
Geza Ulole , Vangi na kundi la aina yako nadhani mna matatizo sana na mnapoteza maana kwenye jamvi hili kwa kasi ya udaku ambao kila mnakuja nao . Sasa unawataka Chadema waweke picha toka kila kata wanayo enda ? Sijaelewa kwa kweli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…