Mwanangu anamiaka mitatu kasoro anasumbuliwa na hayo matatizo toka anamwaka nanusu, ametumia sn antibiotics zinaisha nakurudi, sasa anatakiwa atolewe kwaushauri wa daktari, msaada hospital gani yenye dokta mzuri wamaswala hayo mwenye kujua please, nipo Dar es salaam.
upo wapi mkuuMwanangu anamiaka mitatu kasoro anasumbuliwa na hayo matatizo toka ana mwaka na nusu, ametumia sana antibiotics zinaisha nakurudi, sasa anatakiwa atolewe kwa ushauri wa daktari,
Naomba msaada wa hospital yenye dokta mzuri wa maswala hayo mwenye kujua please.
nenda muhimbili klinik ya E.N.T mtafute dokta kimario upate ushauri km ni upasuaji au laah.Nipo dar es salaam
Waone Madokta bingwa -Enica au Kimario Muhimbili klinik ya E.N.TNipo dar es salaam
ahsante sana huyo Enica anapatikana hata AAR? please kama unamawasiliano ya hao naomba tafadhali.Waone Madokta bingwa -Enica au Kimario Muhimbili klinik ya E.N.T
sante,, huyo wa Regence anaitwa nani please.Nenda Regency... Mie mwanangu alifanyiwa hapo alikuwa na mwaka mmoja na miezi mitatu tu na yupo fresh tu...
Dr Edwin ni dr mzuri wa E N T alimfanyia mtoto wangu operation 2014 yupo poa mpk sasa.sante,, huyo wa Regence anaitwa nani please.
ahsante snEnika anapatikana Hospitali ya Sanitas Mikocheni kila ijumaa saa kumi
Dr Kimario ana private klinik pia msasani namanga pale madukani