Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Dr naomba kujua madhara ya mwanamke kufanya tendo la Baada ya mwez mmoja wa opereshen ya uzazi
»Nina mchumba wangu kafanyiwa opereshen tr 8 april,ss mimi sikuwepo nilikua nje ya nchi kidogo,nimerud jana tr 13 may,tulipokutana akaniambia amenimis na anataka tufanye tendo la ndoa,kanilazimisha mpaka tukafanya km round 4,ghafla round ya 4 akaanza kusikia maumivu,sbb round hii tulitumia stail ya kifo cha mende,
~utata sasa~
Kuna dr niliwai ongea nae akaniambia tendo linaruhusiwa mara tu kidonda kikikauka,je kwanini utasikia mpaka baada ya miez sita,,
Angalizo alifanyiwa opereshen kubwa kutoka ktk kitovu kushuka chini sababu mimba ilitunga ktk mirija[ectopas pregnat}
Alishanwa usawa wa kitovu kushka chini
»Nina mchumba wangu kafanyiwa opereshen tr 8 april,ss mimi sikuwepo nilikua nje ya nchi kidogo,nimerud jana tr 13 may,tulipokutana akaniambia amenimis na anataka tufanye tendo la ndoa,kanilazimisha mpaka tukafanya km round 4,ghafla round ya 4 akaanza kusikia maumivu,sbb round hii tulitumia stail ya kifo cha mende,
~utata sasa~
Kuna dr niliwai ongea nae akaniambia tendo linaruhusiwa mara tu kidonda kikikauka,je kwanini utasikia mpaka baada ya miez sita,,
Angalizo alifanyiwa opereshen kubwa kutoka ktk kitovu kushuka chini sababu mimba ilitunga ktk mirija[ectopas pregnat}
Alishanwa usawa wa kitovu kushka chini