Opereshen vs tendo la ndoa

Opereshen vs tendo la ndoa

Ajanizalia bado, ndo hiyo mimba imetolewa ili kumpa mama maisha sbb ilitunga katika mirija ya uzazi,ikapelekea tatizo la upungufu wa damu

Ok ndugu. Hata hivyo huyo mchumba ana wivu sana...madaktari hushauri at least baada ya miezi kadhaa minne hadi sita. Yeye mmoja tu kakuparamia...!!!!
 
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.....nageuka mac-regan nawaambia endeleaaaa.
 
»nilikua nje ya nchi kidogo,tulipokutana akaniambia amenimis na anataka tufanye tendo la ndoa,kanilazimisha mpaka tukafanya km round 4,tulitumia stail ya kifo cha mende


For promotional use only.
 
Dr naomba kujua madhara ya mwanamke kufanya tendo la Baada ya mwez mmoja wa opereshen ya uzazi
»Nina mchumba wangu kafanyiwa opereshen tr 8 april,ss mimi sikuwepo nilikua nje ya nchi kidogo,nimerud jana tr 13 may,tulipokutana akaniambia amenimis na anataka tufanye tendo la ndoa,kanilazimisha mpaka tukafanya km round 4,ghafla round ya 4 akaanza kusikia maumivu,sbb round hii tulitumia stail ya kifo cha mende,
~utata sasa~
Kuna dr niliwai ongea nae akaniambia tendo linaruhusiwa mara tu kidonda kikikauka,je kwanini utasikia mpaka baada ya miez sita,,
Angalizo alifanyiwa opereshen kubwa kutoka ktk kitovu kushuka chini sababu mimba ilitunga ktk mirija[ectopas pregnat}
Alishanwa usawa wa kitovu kushka chini

Kwani ungesema hukuwepo haingetosha mpaka useme ulikuwa nje ya nchi! Acha upimbi wewe
 
Uuuuw you people control your desires..
 
Kwani ungesema hukuwepo haingetosha mpaka useme ulikuwa nje ya nchi! Acha upimbi wewe

Dogo kwanini umepanic,nyie ndo mnasababisha JF hionekane haina mana,toa hoja
 
Duuuuuuuu!!!!!!!!!!! uroho mwingine balaaaaaa
 
na huyu mwanamke naye!!!!! kwani mp inakuwa imeisha kwa mwezi mmoja jamani? na wewe kaka 4times!!that was too much, fuata taratibu za kuoa bwana acha kukengeuka coz hiyo ni dhambi
 
na huyu mwanamke naye!!!!! kwani mp inakuwa imeisha kwa mwezi mmoja jamani? na wewe kaka 4times!!that was too much, fuata taratibu za kuoa bwana acha kukengeuka coz hiyo ni dhambi

Alipata MP kama kama,nimeacha lakini
 
Back
Top Bottom