Operesheni dhidi ya magari mabovu kuanza Juni 6, 2021

Wangesema magari chakavu labda
Tena yako mengi kweli
Ni jambo zuri sana
 
Trifiki wasio WAAMINIFU hapo kazini alfajiri mpaka usiku mkubwa
 
Hata daladala nyingi tu ni chakavu ila nasikia wamiliki wengi ni wao wenyewe
 
Ushanzi sana huu Wacha Tupaki last week wamengoa Namba na week hii pia wameng'oa tena sasa wacha iwe mbwai tutayapaki tuone na wao walete Mabus yao ya Polisi yabebe Abiria... Gari bovu basi wakamate na serikali kwa Barabara zao Mbovu
 
Mama listaafishe haraka hili zee... Gari Bovu ulijenga barabara nzima?
 
Hizo gari wakizikuta mbovu ndio wanazisimamisha ovyo ovyo hata maeneo yasiyo na parking na kutuongezea misongamano barabarani
 
Watakamata ya walalahoi ili wapate rushwa wataacha ya kwao,
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana wao kila kukicha ni vita na magari badala ya kutengeneza mazingira mazuri wao ni kurudisha nyuma watu gari zinaagizwa za mwaka 2000 huko mtandaoni kwa sababu magari ya miaka ya karibuni kodi haishikiki hamjui kodi ndio tatizo ninyi kila kukicha mnawashambulia raia...gari iwe ya 2014 au 2018 utakagua nini hapo...
 
Sirro katengeneza fursa nyingine kwa askari wa usalama barabarani wapige hela ya "wanyonge"

Mungu wasaidie wanyonge wa Tz
 
Kule Zanzibar nako wameanza kupita na vipasa sauti magari mabovu yaondolewe barabarani kumbe mpaka amri itoke jamuhuri ya muungano na wao ndio wajitie kupiga marufuku., mama samia naye ameitelekeza Zanzibar.
 
Huu Mchezo ni deal tu haman kingine maana Daladala ndio warengwa wakuu... kudakishana tu then unaachiwa kisha unashikwa na mwingine basi hadi ndio mwezi uishe ni taabu tu... au yaani Ujambazi ukishikiwa bango uishe na wao wanahamia kukamata magari there is something fishy is goin on... Maaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…