Operesheni Haki: Freeman Mbowe kuhamasisha umuhimu wa Katiba jijini Dar es Salaam

Operesheni Haki: Freeman Mbowe kuhamasisha umuhimu wa Katiba jijini Dar es Salaam

Ile Operesheni iliyotikisa nchi kwa kuhamasisha wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, ambayo ishatikisa na kuamsha watu wa mikoa 24, sasa imeingia kwenye mkoa wa DSM huku wakazi wake wakisubiri kwa hamu bila kuchoka.

Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ataongoza mashambulizi bila kuchoka.

Hili jizi katili linateseka sana yaani hakuna linalobadilika watu wamemhomea kabisaa hamna jipyaa
 
Hi
Vyama vingine kama Chauma, TLP, ACT, NCCR na CCM wakianza siasa za majukwaani na mikutano kama hii kula siku mnafikiri kazi itafanyika saa ngapi?
Hivyo vyama vingine mbali na chadema hakuna mtu wa kupoteza mda kuja kuvisikiliza ndo mana kwa kulitambua hilo wako kimya
 
Amenogeshwa na Amsterdam sasa anataka kila awe shoger
 
Murilo mbna anafeli kazi
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu akiingia kwenye kikao cha majadiliano mkoa wa kichama Ilala
Official_BAVICHA_Taifa_on_Instagram:_“Naibu_Katibu_Mkuu_Zanzibar_Mhe._@salummwalimtz_akiwasili...jpg
 
Back
Top Bottom