Operesheni Haki yaiharibu CCM nchi nzima, wachambuzi wa siasa waifananisha na Operesheni Sangara ya 2012

Operesheni Haki yaiharibu CCM nchi nzima, wachambuzi wa siasa waifananisha na Operesheni Sangara ya 2012

Ukiona wanaanza kukimbizana na mapolisi na mabomu ya machozi ujue hali yao ni tete, operation inafanyika vizuri utumbo wao uko nje ndio maana wanahangaika, nawashauri tu watulie madokta tunakaribia kumaliza tuwafunge kidonda, halafu tuwaandikie tarehe ya kuja kutoa nyuzi.
 
Ukiona wanaanza kukimbizana na mapolisi na mabomu ya machozi ujue hali yao ni tete, operation inafanyika vizuri utumbo wao uko nje ndio maana wanahangaika, nawashauri tu watulie madokta tunakaribia kumaliza tuwafunge kidonda, halafu tuwaandikie tarehe ya kuja kutoa nyuzi.
😆😆😆
 
CHADEMA ni taasisi inayoongozwa na viongozi wapuuzi na mediocres sana! Ajenda za mlipuko kama hizi za Katiba na Tozo za miamala haziwezi kujenga CHADEMA!

Pangeni namna ya kuijenga CHADEMA kama taasisi imara kiuongozi,kiuchumi then ndo mnaweza kupambana na CCM.
Katika hali ya utulivu CHADEMA haina uongozi imara kama taasisi, haina Ajenda za muda mrefu na ni taasisi dhaifu sana kiuchumi!

Hii ndo sababu CHADEMA inawekeza sana kwenye siasa za matukio kwani watu wajinga wengi ( zaidi ya asilimia 70) wanapenda sana matukio!

Tatizo ambalo viongozi wengi wa CHADEMA kwa sababu ya ujinga wao hawalijui ni kwamba wajinga wengi ( zaidi ya asilimia 70) wanaopenda matukio huwa hawadumu na hayo matukio muda mrefu !

Watashabikia issues za Katiba na Tozo za miamala ndani ya wiki 2_then wanakosa nayo appetite na kutaka tena matukio mapya! CHADEMA mtachukua miongo mingi sana kujifunza na siasa zenu kuleta tija kwa Taifa!!!!
Mkuu hii ndege ni ya abiria ya biashara au ya matumizi ya viongoz au bnafs
FB_IMG_16266226964436858.jpg
 
Ndio maana nasema CHADEMA imejaza vijana wengi wajinga wasio na ubunifu wowote baada ya kuhitimu elimu ya kukariri! Huwezi kuipangia Serikali nini cha kufanya bila wewe kuwa na facts zozote! Hiyo ndege ni Mali ya Serikali ya JMT sasa wewe unajua kwa nini wametumia hiyo ndege kwa Shughuli za Serikali?! Wangetumia kodi zetu kukodi ndege KenyaAirways ungesema nini sasa!
Nyie endeleeni na harakati zenu za kijinga chini ya viongozi wenu wajinga kuhusu Katiba na Tozo za miamala! Kumbukeni mnapoteza muda na umri wenu unakwenda!

Mkuu hii ndege ni ya abiria ya biashara au ya matumizi ya viongoz au bnafsView attachment 1858616
 
Ndio maana nasema CHADEMA imejaza vijana wengi wajinga wasio na ubunifu wowote baada ya kuhitimu elimu ya kukariri! Huwezi kuipangia Serikali nini cha kufanya bila wewe kuwa na facts zozote! Hiyo ndege ni Mali ya Serikali ya JMT sasa wewe unajua kwa nini wametumia hiyo ndege kwa Shughuli za Serikali?! Wangetumia kodi zetu kukodi ndege KenyaAirways ungesema nini sasa!
Nyie endeleeni na harakati zenu za kijinga chini ya viongozi wenu wajinga kuhusu Katiba na Tozo za miamala! Kumbukeni mnapoteza muda na umri wenu unakwenda!
una uwezo mdogo sana !
 
Taarifa ya sasa duniani na hasa baada ya ccm kurudia makosa yale yale ya miaka yote , ya kukubali kushindwa hoja na kuamua kulitumia Jeshi la polisi kudhibiti Chadema badala ya viongozi wake wa chama akiwemo Shaka Hamdu ambaye ni Katibu wa uenezi na itikadi , zinadokeza kwamba hii Operesheni haki inayoendelea japo ni ya vikao vya ndani imeivuruga kabisa ccm na serikali yake kuliko hata operesheni Sangara ile ya miaka ya 2012 iliyokuwa inafanyika hadharani.



"Ubaya" uliogundulika wa operesheni haki hata kama ni vikao vya ndani ni uwepo wa CHADEMA DIGITAL , ambayo mpaka sasa inasemekana 70% ya vijana wanaojitambua na wasomi wanaitumia , imefanya kazi ya kampeni za operesheni haki ziwe nyepesi mno , IKUMBUKWE KWAMBA VIJANA WASOMI WENGI WA TANZANIA HAWAKUAJIRIWA KWA MIAKA 6 SASA , hii imekuwa ushahidi wa wazi kwa vijana wengi kuthibitisha kushindwa kwa CCM katika kuboresha maisha yao

View attachment 1858513
Habari hii ya moto wa Operesheni haki ndio iliyosababisha shida yote hii kwenye kogamano la Katiba mpya huko Mwanza .

Itaendelea...
Tutaendelea kusapoti kila mtu mwenye nia njema na Taifa hili
 
aliyekupanga kitengo cha propaganda chadema jf, alipiga hesabu zake vyema.

kazi unaifanya,wasipokulipa ni roho mbaya tu.
 
Hivi bado kuna Wana Chadema wenzenu wanawaamini na porojo uchwara zenu? Eti mmeivuruga CCM wakati huohuo unaweka picha za Dk. Slaa?
Picha za juu za Mwamba Mbowe na Mamluki Dr Slaa ni za operesheni sangara huko kilombero mwaka 2012 wakati ule ccm haikuogopa siasa za majukwaani.

Hizo za Chini ni za Ustaadh Aboubakar Mbowe akiwa kwenye operesheni haki huko Unguja , wakati huu ambapo ccm imekaimisha majukumu yake kwa Jeshi la Polisi
 
CHADEMA ni taasisi inayoongozwa na viongozi wapuuzi na mediocres sana! Ajenda za mlipuko kama hizi za Katiba na Tozo za miamala haziwezi kujenga CHADEMA!

Pangeni namna ya kuijenga CHADEMA kama taasisi imara kiuongozi,kiuchumi then ndo mnaweza kupambana na CCM.
Katika hali ya utulivu CHADEMA haina uongozi imara kama taasisi, haina Ajenda za muda mrefu na ni taasisi dhaifu sana kiuchumi!

Hii ndo sababu CHADEMA inawekeza sana kwenye siasa za matukio kwani watu wajinga wengi ( zaidi ya asilimia 70) wanapenda sana matukio!

Tatizo ambalo viongozi wengi wa CHADEMA kwa sababu ya ujinga wao hawalijui ni kwamba wajinga wengi ( zaidi ya asilimia 70) wanaopenda matukio huwa hawadumu na hayo matukio muda mrefu !

Watashabikia issues za Katiba na Tozo za miamala ndani ya wiki 2_then wanakosa nayo appetite na kutaka tena matukio mapya! CHADEMA mtachukua miongo mingi sana kujifunza na siasa zenu kuleta tija kwa Taifa!!!!
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. Bila mitutu ya bunduki za polisi CCM hii ni sawa na TLP ya Mrema
 
Ndio maana nasema CHADEMA imejaza vijana wengi wajinga wasio na ubunifu wowote baada ya kuhitimu elimu ya kukariri! Huwezi kuipangia Serikali nini cha kufanya bila wewe kuwa na facts zozote! Hiyo ndege ni Mali ya Serikali ya JMT sasa wewe unajua kwa nini wametumia hiyo ndege kwa Shughuli za Serikali?! Wangetumia kodi zetu kukodi ndege KenyaAirways ungesema nini sasa!
Nyie endeleeni na harakati zenu za kijinga chini ya viongozi wenu wajinga kuhusu Katiba na Tozo za miamala! Kumbukeni mnapoteza muda na umri wenu unakwenda!
CCM imejaza vijana mataahira wasijitambua
 
Hivi bado kuna Wana Chadema wenzenu wanawaamini na porojo uchwara zenu? Eti mmeivuruga CCM wakati huohuo unaweka picha za Dk. Slaa?
Tatizo nyie vibaka wa uvccm ni wavivu wa kusoma,ungesoma mada na jinsi ilivyohusisha hizo picha za operesheni Sangara usingeandika huu upumbavu wako, ndiyo maana mnashindwa mitihani hamsomi swali na kulielewa.
 
Tatizo nyie vibaka wa uvccm ni wavivu wa kusoma,ungesoma mada na jinsi ilivyohusisha hizo picha za operesheni Sangara usingeandika huu upumbavu wako, ndiyo maana mnashindwa mitihani hamsomi swali na kulielewa.
Ni kweli ni wavivu, ila ukija uchaguzi uwe wa mitaa, udiwani ubunge au urais wanaupiga mwingi hadi mnapoteana! Ahahahahahahahah!!!!
 
Back
Top Bottom