Operesheni Haki yaiharibu CCM nchi nzima, wachambuzi wa siasa waifananisha na Operesheni Sangara ya 2012

Kama ni hivyo uoga wa nini sasa? ni sawa na mtu anaempiga biti adui yake huniwezi,nitakuua, mtu dhaifu kama wewe siwezi kupambana na wewe, huku akitetemeka na jasho linakutoka hadi matakn ndio ushujaa gani sasa huo.tokeni mpambane kwa hoja za kisiasa sio mitutu na kusingizia watu ugaidi.
 
Ebo Chadema wajinga Tena..wakati viongozi wako wengi wanetoka Chadema ..unafikiri hawako kimkakati..open your eyes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…